Tulimuona Kafulila mjinga, kumbe kusifu unalamba uteuzi

Tulimuona Kafulila mjinga, kumbe kusifu unalamba uteuzi

Ila Kwa Pascal Mayalla imekua ngumu, sijui anakosea wapi?
Mbona Pascal Mayalla hakumbukwi na mwimba mapambio mzuri tuu?,basi kuna tatizo mahali[emoji2][emoji2]
Wana jf, lazima mjifunze kutofautisha wapongezaji bonafide genuine na machawa!.

Japo the dividing line is very thin, wapongezaji genuine ni ma critical thinkers wakati machawa ni kujikomba komba tuu!. Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
 
Wengi tulimwona chizi,wengine tufikiri anakaribia kupelekwa Mirembe.

Kumbe Kafulila alishausoma mchezo ni mwendo wa kusifu na kuimba mapambio yenye sifa na utukufu.

Na mimi Ngongo nalianzisha,
Mama anaupiga mwingi.
Hakuna kama Mama.
2025 ni yeye tu hakuna mwingine.
Uchumi umepaa kipindi cha Mama.
Humu mbona walikuwepo moto sana Yehodaya, Jingalao, cocochanel, magonjwa mtambuka, etwege, NdegeJohn, na wengine ila walipotea
John baptist naona naye pumzi inakata muda si mrefu. Hizo fani zina wenyewe.
 
Mama hoyee
Mama bonge la Actress ref movie ya utalii
Mama kaupiga mwingi mpk unamwagikia
Mama hata asipopaka mekapu anawaka tuu
Jicho la mama linatubembeleza watanzania
Mama akivaa juba akivaa kitenge anawaka
Twende na mama 2025
Hapa huwezi kosa udisii 😀

Umesahau namba ya Simu tu
 
Ungana na Mwashambwa muendeleze gurudumu
 
Kaka ? Hahahaaha subiri ukwezwe usijekweze!
Sijikwezi, bali ile JF tuliojiunga sisi na JF hii ni vitu viwili tofauti, nimekueleza ili mada zangu usizisome kitutusa!, lazima ushirikishe medulla oblingata yako, vinginevyo utaishia chaka!
P
 
Back
Top Bottom