Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Ila Kwa Pascal Mayalla imekua ngumu, sijui anakosea wapi?
Wana jf, lazima mjifunze kutofautisha wapongezaji bonafide genuine na machawa!.Mbona Pascal Mayalla hakumbukwi na mwimba mapambio mzuri tuu?,basi kuna tatizo mahali[emoji2][emoji2]
Sasa tufanyeje acha tubuni mbunuHuendi mbinguni aaaaaaHaaaa khaaaaa
Dada Tuma Kaume mwishowe kaamua kulimwagaKukopa lazima[emoji28], ujaweka hii, wameshapamba hii.
Dada Tuma Kaume mwishowe kaamua kulimwagaKukopa lazima[emoji28], ujaweka hii, wameshapamba hii.
Unataka kusema wewe ni Critical thinker? AnywayJapo the dividing line is very thin, wapongezaji genuine ni ma critical thinkers wakati machawa ni kujikomba komba tuu!.
Very... ila pia ili kunisoma lazima wewe ni mtu wa viwango fulani vya uelewa kuweza kusoma in between the lines.Unataka kusema wewe ni Critical thinker? Anyway
Humu mbona walikuwepo moto sana Yehodaya, Jingalao, cocochanel, magonjwa mtambuka, etwege, NdegeJohn, na wengine ila walipoteaWengi tulimwona chizi,wengine tufikiri anakaribia kupelekwa Mirembe.
Kumbe Kafulila alishausoma mchezo ni mwendo wa kusifu na kuimba mapambio yenye sifa na utukufu.
Na mimi Ngongo nalianzisha,
Mama anaupiga mwingi.
Hakuna kama Mama.
2025 ni yeye tu hakuna mwingine.
Uchumi umepaa kipindi cha Mama.
Hapa huwezi kosa udisii πMama hoyee
Mama bonge la Actress ref movie ya utalii
Mama kaupiga mwingi mpk unamwagikia
Mama hata asipopaka mekapu anawaka tuu
Jicho la mama linatubembeleza watanzania
Mama akivaa juba akivaa kitenge anawaka
Twende na mama 2025
Ngoja niedit niiweke π π π π πHapa huwezi kosa udisii π
Umesahau namba ya Simu tu
Inawezekana namba zikafuatwa DM,be patient tayari umeonekana πNgoja niedit niiweke π π π π π
Eti ngoja nisubiri subiri kidogo..nikiona kimya naimwaga humu humu π πInawezekana namba zikafuatwa DM,be patient tayari umeonekana π
Ongeza speed tu ya kusifu na kupongezaEti ngoja nisubiri subiri kidogo..nikiona kimya naimwaga humu humu π π
Ngoja nihamishie majeshi kwny page ya mama InstagramOngeza speed tu ya kusifu na kupongeza
Hapa vijana wake wapo usijali sana mkuu,kama ID hii unaona si safi sana ,njoo na mpyaaa tuNgoja nihamishie majeshi kwny page ya mama Instagram
Kaka ? Hahahaaha subiri ukwezwe usijekweze!Very... ila pia ili kunisoma lazima wewe ni mtu wa viwango fulani vya uelewa kuweza kusoma in between the lines.
P
Sijikwezi, bali ile JF tuliojiunga sisi na JF hii ni vitu viwili tofauti, nimekueleza ili mada zangu usizisome kitutusa!, lazima ushirikishe medulla oblingata yako, vinginevyo utaishia chaka!Kaka ? Hahahaaha subiri ukwezwe usijekweze!
Duu mshana na wewe ukianza hivyo najitoa JfNa mimi Ngongo nalianzisha,
Mama anaupiga mwingi.
Hakuna kama Mama.
2025 ni yeye tu hakuna mwingine.
Uchumi umepaa kipindi cha Mama.[emoji23]