fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Imepita miaka 10 sasa,nilimpata mdada mmoja ni msomi kutoka mkoa wa kaskazini,nilimtongoza miezi 6 hatimae akanipa,siku hiyo tulinyanduana vibaya,gemu ilichukua saa moja hivi na intervals zilikuwepo,tulinyonyana vibaya,chumvi nilienda na mtaronpia niliulamba,baada ya muaka 3 hivi alikuja jamaa mmoha tunafanya nae kazi japo yeye anaishi uingereza,alivyomuona huyo demu akamtaka mno,sasa mie nikavunga kuwa ni ndugu wa rafiki yangu,akaniomba nimkutanishe nae,ikabidi nimuulize yule dada,vipi kuna huyu jamaa anakutaka,akanibia sawa tucheze gemu kama hatujuani,nikawakutanisha,we mchezo ukawa positive,wakatoka pamoja na toka siku hiyo wakawa marafiki,mie nikawa nagonga kwa plan mno.Sasa baada ya mwaka jamaa akaenda ulaya ila akamuoa huyo dada kwanza ndipo akaondoka,baada ta mwaka yule mdada aluenda ulaya kwammumewe na sasa wana watoto watau mmoja mwanamke na wanaume wawili wanaendelea na life bristol huko uk