Ndugu hope uko aware kuwa third round application iliongezwa muda mpaka tarehe 7 September? Nafikiri baada ya tarehe husika majina yenu yatakuwa yametendewa kazi na utafahamu chuo uendacho! Hofu ondoa sababu ukicheck majina ya chuo kama CUHAS wameandika katika each faculty kwamba hiyo ni first list of names in certain degree program that means third round ndo watakuja kuwa second list. So bro worry not!!