Ndugu hope uko aware kuwa third round application iliongezwa muda mpaka tarehe 7 September? Nafikiri baada ya tarehe husika majina yenu yatakuwa yametendewa kazi na utafahamu chuo uendacho! Hofu ondoa sababu ukicheck majina ya chuo kama CUHAS wameandika katika each faculty kwamba hiyo ni first list of names in certain degree program that means third round ndo watakuja kuwa second list. So bro worry not!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.