Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Siku njema wana JF
Kuna wakati unafika unaona kuendelea kulipa kodi kwa mama mjengo sio chaguo sahihi,, hivyo unachagua kuingia kwenye nyumba yako ikiwa bado haijakamilika.
Je, uliingia kwenye nyumba yako ikiwa katika hatua gani, kama ilikua bado haijaisha ni nini kilikusukuma na nichangamoto zipi ulizipitia?
Karibuni [emoji846]
Kuna wakati unafika unaona kuendelea kulipa kodi kwa mama mjengo sio chaguo sahihi,, hivyo unachagua kuingia kwenye nyumba yako ikiwa bado haijakamilika.
Je, uliingia kwenye nyumba yako ikiwa katika hatua gani, kama ilikua bado haijaisha ni nini kilikusukuma na nichangamoto zipi ulizipitia?
Karibuni [emoji846]