Tulio hamia nyumba zikiwa hazijaisha tupeane uzoefu na changamoto

Tulio hamia nyumba zikiwa hazijaisha tupeane uzoefu na changamoto

Unahamia

Umeweka tu mlango wa gril mbele na nyuma, dirishani umegonga wavu, milango ya vyumbani hakuna hata frem, chini Kuna jambo tu, ndani ujapiga hata brandaring, umeme una taa tatu pekee taa ya nje, subuleni na chumbani na switch moja tu ya sebuleni ajiri ya kuchajia na kutizama tv

Haya changamoto Sasa Hilo jambo aisee Lina vumbi balaa Kila siku utamwaga maji vitu vinabadilika vianaanza fanana na cement, unawaza nipigie niru ukiwaza mifuko ya cement unashiwa pozi unasema ngoja nikomae niweke tiles

Haya MADIRISHA ya wavu tu kama ujaziba vizuri mvua ikinyesha ya upepo maji yanaingia ndani usiombe ikanyesha usiku 😂😂

Haya ukosefu wa singboard arafu kukawa Kuna popo mungu wangu nyumba inakuwa disco ni kelele za popo aisee, au mda wa show watoro wamelala bibie akinogewa Ile minunguno 😂😂😂 unapunguza kasi
Aisee I wish ni sheet video ila basi tu imebaki story
 
Siku njema wana JF

Kuna wakati unafika unaona kuendelea kulipa kodi kwa mama mjengo sio chaguo sahihi,, hivyo unachagua kuingia kwenye nyumba yako ikiwa bado haijakamilika.

Je, uliingia kwenye nyumba yako ikiwa katika hatua gani, kama ilikua bado haijaisha ni nini kilikusukuma na nichangamoto zipi ulizipitia?

Karibuni [emoji846]

Safi maana wangelala ndege
 
Unahamia

Umeweka tu mlango wa gril mbele na nyuma, dirishani umegonga wavu, milango ya vyumbani hakuna hata frem, chini Kuna jambo tu, ndani ujapiga hata brandaring, umeme una taa tatu pekee taa ya nje, subuleni na chumbani na switch moja tu ya sebuleni ajiri ya kuchajia na kutizama tv

Haya changamoto Sasa Hilo jambo aisee Lina vumbi balaa Kila siku utamwaga maji vitu vinabadilika vianaanza fanana na cement, unawaza nipigie niru ukiwaza mifuko ya cement unashiwa pozi unasema ngoja nikomae niweke tiles

Haya MADIRISHA ya wavu tu kama ujaziba vizuri mvua ikinyesha ya upepo maji yanaingia ndani usiombe ikanyesha usiku [emoji23][emoji23]

Haya ukosefu wa singboard arafu kukawa Kuna popo mungu wangu nyumba inakuwa disco ni kelele za popo aisee, au mda wa show watoro wamelala bibie akinogewa Ile minunguno [emoji23][emoji23][emoji23] unapunguza kasi
Aisee I wish ni sheet video ila basi tu imebaki story
Hahahaa daaa ni changamoto

Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
 
Mimi yangu nimehamia wiki tatu zilizopita. Madirishani nimeweka wavu wa mbu na grill na nailon kwa ajili ya upepo. Milangoni nimeweka mlango wa gril wenye vioo (milango ya nje miwili).

Chumba nilichokikamilisha ni master tu na dining (ambayo ndio sebule kwa sasa) ndio nimeweka tiliz kila kitu kasoro maridishani ni wavu na maji sijaingiza ndani. Pengine nimefunga board tayari naendelea ku skim sasa.

Hela ambayo nigelipa kodi miezi hii sita, nitanunua tiliz niweke taratibu baada ya hapo nianze kununua madirisha ya alminium moja moja.

Changamoto ni ninaogopa usiku. Nyingine ni za kawaida kama vumbi nk.
 
Mimi yangu nimehamia wiki tatu zilizopita. Madirishani nimeweka wavu wa mbu na grill na nailon kwa ajili ya upepo. Milangoni nimeweka mlango wa gril wenye vioo (milango ya nje miwili).

Chumba nilichokikamilisha ni master tu na dining (ambayo ndio sebule kwa sasa) ndio nimeweka tiliz kila kitu kasoro maridishani ni wavu na maji sijaingiza ndani. Pengine nimefunga board tayari naendelea ku skim sasa.

Hela ambayo nigelipa kodi miezi hii sita, nitanunua tiliz niweke taratibu baada ya hapo nianze kununua madirisha ya alminium moja moja.

Changamoto ni ninaogopa usiku. Nyingine ni za kawaida kama vumbi nk.
Mwanamke mrembo hivi unalala peke yako?
 
Mimi yangu nimehamia wiki tatu zilizopita. Madirishani nimeweka wavu wa mbu na grill na nailon kwa ajili ya upepo. Milangoni nimeweka mlango wa gril wenye vioo (milango ya nje miwili).

Chumba nilichokikamilisha ni master tu na dining (ambayo ndio sebule kwa sasa) ndio nimeweka tiliz kila kitu kasoro maridishani ni wavu na maji sijaingiza ndani. Pengine nimefunga board tayari naendelea ku skim sasa.

Hela ambayo nigelipa kodi miezi hii sita, nitanunua tiliz niweke taratibu baada ya hapo nianze kununua madirisha ya alminium moja moja.

Changamoto ni ninaogopa usiku. Nyingine ni za kawaida kama vumbi nk.
Hakuna chumba tupu hapo nije kukupa company na kupunguza ukali wa kodi
 
Mimi yangu nimehamia wiki tatu zilizopita. Madirishani nimeweka wavu wa mbu na grill na nailon kwa ajili ya upepo. Milangoni nimeweka mlango wa gril wenye vioo (milango ya nje miwili).

Chumba nilichokikamilisha ni master tu na dining (ambayo ndio sebule kwa sasa) ndio nimeweka tiliz kila kitu kasoro maridishani ni wavu na maji sijaingiza ndani. Pengine nimefunga board tayari naendelea ku skim sasa.

Hela ambayo nigelipa kodi miezi hii sita, nitanunua tiliz niweke taratibu baada ya hapo nianze kununua madirisha ya alminium moja moja.

Changamoto ni ninaogopa usiku. Nyingine ni za kawaida kama vumbi nk.
Hongera ila kuwa makin settings ya tiles hapo.unangeanza na sebule korido ukipata level ndio itatembea mpaka vyumban.kuskim unaweza kuanza hata na mfuko 3 kwa chumba kama hutak vumbi hupig msasa utapiga baada ya tiles.maana vumb la skimming ukipiga msasa utaomba poo.
 
Sisimizi,jongoo,nge, mende, siafu ,mbu, mijusi ya ajaba,wakati mwingine wanyama wanapotea njia wanaingia ndani na kuanza kupiga kelele kutafuta pa kutokea.
Kama juzi kaingia bundi asee alisumbua wee acha ila manati yalinisaidia sana japo nilitoboa bati[emoji30][emoji30]

🤣🤣🤣🤣
 
Hongera ila kuwa makin settings ya tiles hapo.unangeanza na sebule korido ukipata level ndio itatembea mpaka vyumban.kuskim unaweza kuanza hata na mfuko 3 kwa chumba kama hutak vumbi hupig msasa utapiga baada ya tiles.maana vumb la skimming ukipiga msasa utaomba poo.

Sebule ipo kwa chini. Yaani ukitoka kwenye kordo sebule ni kwa chini na ndio chumba pekee kilicho chini.

Hapa level inatokea kwenye hii master napita na korido hadi jikoni na dining natoka nje baraza ya nyuma.

Vumbi la msasa si mchezo. Sema naweka mapazia mazito linakuwa linakingwa huko huko. Mfano nikiskim kwenye korido naziba mlango unaoingia Ninapolala na mlango unaoingia jikoni. Linabaki kwenye korido na vyumba ambavyo sivitumii kwa huo wakati.

Nikiingia chumbani wakati wa msasa naziba mlango na hapo msasa inabidi nipige asubuhi sana kabla upepo haujaanza. Baada ya upepo kuanza naendelea na ku skim sehemu ambazo bado.

Leo nipo kufunga mikanda chumba cha mwisho baada ya hapo na skim biashara inaisha.
 
Back
Top Bottom