Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, Mkuu kumbe uko Arusha? Nitakaribia huko siku mojaVema sana..! Karibu Arusha mkuu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, Mkuu kumbe uko Arusha? Nitakaribia huko siku mojaVema sana..! Karibu Arusha mkuu..
Ha haaaaa haaaaa kweli aisee Kama hauna pesa utabiri unaonyesha utaelendelea kuwa single kwa kipindi kirefu...maana ukiambiwa tuma nauli na ya kitolea nije we huna....shida tayari[emoji23]inawezekana kabisa mkuu,maana ili uweze kuwa na mpenzi au mke unatakiwa kuwa na pesa kwanza,
Ha haaaaa haaaaa kweli aisee Kama hauna pesa utabiri unaonyesha utaelendelea kuwa single kwa kipindi kirefu...maana ukiambiwa tuma nauli na ya kitolea nije we huna....shida tayari
Hahahaha[emoji23]kabisa,na hakuna kitu kinatuletea umasikini kama kutuma nauli na ya kutolea kwa sababu huwa tunajikuta tumeungia kwenye mikopo umiza hahahaha
HahahahaHa haaaaa haaaaa kweli aisee Kama hauna pesa utabiri unaonyesha utaelendelea kuwa single kwa kipindi kirefu...maana ukiambiwa tuma nauli na ya kitolea nije we huna....shida tayari
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe no wonder uko single,eti akili inaenda mbali[emoji23]mkuu mimi nikiombagwa nauli hua mpaka nakopa aisee akili huwa inaenda mbali sana
Hahahaha, ushawahi kuombwa na kutuma hy nauli ?[emoji23]mkuu mimi nikiombagwa nauli hua mpaka nakopa aisee akili huwa inaenda mbali sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe no wonder uko single,eti akili inaenda mbali
Ha haaaaa punguza ubahili mkuu utakosa vitu vizuri mjini hapa[emoji23]kabisa,na hakuna kitu kinatuletea umasikini kama kutuma nauli na ya kutolea kwa sababu huwa tunajikuta tumeungia kwenye mikopo umiza hahahaha
Mkuu hebu nipe uzoefu juu ya hili swala la nauli ,inaonekana hiki kipengele muhimu ss wa single ndio kinasumbuahahahha[emoji23]haya mambo ni mazito mkuu yaone tu hivi hivi,kuna wakati nazima simu kukwepa mizinga
Ukiwa mwanamme mjanja lazima kwenye bajeti uhesabu na pesa ya mizinga😂😂😂😂hahahha[emoji23]haya mambo ni mazito mkuu yaone tu hivi hivi,kuna wakati nazima simu kukwepa mizinga
HahahahaUkiwa mwanamme mjanja lazima kwenye bajeti uhesabu na pesa ya mizinga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, ingia nayo ktk box ,unaweza pata penaltyOuter pass hiyo naona
Ukiwa mwanamme mjanja lazima kwenye bajeti uhesabu na pesa ya mizinga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hebu nipe uzoefu juu ya hili swala la nauli ,inaonekana hiki kipengele muhimu ss wa single ndio kinasumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, ahsante ,na huwa mnatuma kwa manzi wa dar au mkoani ,au inategemea na ulipomkuu,nauli tuma kwa manzi ambaye una uhakika atakuja,hawa wengine unaweza ukaishia kupata huzuni tu
alafu kama siku upo vibaya na unataka aje bila kutuma nauli we mwambie unaumwa[emoji16] na kwenye simu huna pesa na simu yako hujaunganisha na sim banking
😂😂😂😂watano?kweli wewe uko single.hahaha mkuu,mimi ujue napigwa mizinga na mademu zaidi ya watano hivo nikisema nitoe ntakufa njaa[emoji23] mtanikosa ndugu yenu humu JF
nakusubiria uje ufike na kwanguNot single not taken. Nipo tu kuonja onja wapenzi wa watu wengine, nikionja nikinogewa naweka makazi ya muda 😆