Hapo inauma sana aisee yeye anakuhitaji akiwa anahitaji mzigo tu .The shit happens when the person you are dating takes you as aside chick while ur counting him as ur main wherever..hapo ujue shida tayari
Khaa inasikitisha halafu inachekesha.....halafu ukaondoka kimyakimya bila kujitetea?hahaha[emoji23] umeongea kwa uchungu sana,kama nakuona vile
sometime back nilikua na Girl fulani ninadate nae,siku moja aliniuliza hivi “kwani mimi na wewe ni wapenzi” ? nikamuuliza kwani umeniacha ? akauliza “kwani tumewahi kuwa na mahusiano ? nilikaa kimya nikaondoka
Inauma mnooo halafu mwenyewe ndio umefikaaa mjuba hayupo kabisaHapo inauma sana aisee yeye anakuhitaji akiwa anahitaji mzigo tu .
Khaa inasikitisha halafu inachekesha.....halafu ukaondoka kimyakimya bila kujitetea?
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]hahaha[emoji23] umeongea kwa uchungu sana,kama nakuona vile
sometime back nilikua na Girl fulani ninadate nae,siku moja aliniuliza hivi “kwani mimi na wewe ni wapenzi” ? nikamuuliza kwani umeniacha ? akauliza “kwani tumewahi kuwa na mahusiano ? nilikaa kimya nikaondoka
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Una tabia ngumu Sana mjuba.[emoji28]sikumsemesha chochote yani niliondoka kimya na wala sikumtafuta mpaka leo,huwa tunakutana njiani au anakuja kwa marafiki zake ambao ni majirani zangu ila napishana nae simsemeshi chochote,rafiki zake hunitania kuhusu yeye mbele yake ila hua nakausha
Naona ulikuwa single ndani ya mahusiano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji8][emoji8]bae
Naona ulikuwa single ndani ya mahusiano[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole bae[emoji8][emoji8]
Chakorii eti na wewe uko single au double mamie
Mkuu hebu muache mtoto wa watu asome.anatakiwa kuriport 1st year mwezi wa 11kama majibu yalitoka vizurihahahaha mkuu wewe jichomeke tu hapo[emoji16]
Mkuu hebu muache mtoto wa watu asome.anatakiwa kuriport 1st year mwezi wa 11kama majibu yalitoka vizuri
Hivi unavijua vitu vya wizi lakini?Nimekuelewa vizuri sana.
Hujasema ukinogewa unaweka makazi, umesema unaweka makazi ya muda.
Na mimi nasema hivii, uelewee..!!! ukikunwa ukakunika utakua ndio mwisho wako wakuonja onja. Hutaweka makazi ya muda, utachimba handaki kabisa.