Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
matako yao.Huu uzi ni wa masingle. Sasa nyie wadada mnaokoment humu halafu tukiwafata PM hamtujibu mna maana gani?
Dah the same na mimi na wala sioni futureNiko single mwaka wa tano na hapo nyuma sikuwahi kuwa na serious relationship
Pole, karibu kambiniNnayaanza maisha ya u single lasm leo[emoji25][emoji25]
HaloPole, karibu kambini
Sema shemejiHalo
Mara hii uko single?Tunaondelea na u single tuko salama ?
Tafuta fuckmate wako mmoja unatulia tuliii👌🏾sometimes tunaenjoy na usingle ila dah! usingle unaboa sana
Nini kimekupata huko tena mkuuNnayaanza maisha ya u single lasm leo[emoji25][emoji25]
Ilo Ni kweli 100%Raha ya kua single bana, unalala na kuamka unavyotaka...ukiamua unaoga ukiamua unapiga ndefu, ukiamua unazurura ndani na boxer au kavu kabisa na hakuna wa kukuuliza..unakula unavyojiskia, unalala popote, subuleni kwenye makochi au chini, bed room, guest room au ht kwenye kivaranda na hakuna kwa kukuuliza na zaidi hela inatulia kwenye wallet(feelings za u Don)...
Tatzo linaanza pale kichwa cha chini kikianza kuwaza na kuwazua...ht vile videmu ulisema hiki nasafisha rungu mara moja tu sirudii tena picha zao zinaanza kutanda na kurindima kichwani...hapo shetani anakua amekaa mkao wa kuangalia cinema na popcon zake kwa pembeni...anakuangalia utapiga simu au utajiunga chaputa kwa muda...either way its win to him..[emoji1787][emoji1787]
Hadi leo?Not single not taken. Nipo tu kuonja onja wapenzi wa watu wengine, nikionja nikinogewa naweka makazi ya muda 😆
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raha ya kua single bana, unalala na kuamka unavyotaka...ukiamua unaoga ukiamua unapiga ndefu, ukiamua unazurura ndani na boxer au kavu kabisa na hakuna wa kukuuliza..unakula unavyojiskia, unalala popote, subuleni kwenye makochi au chini, bed room, guest room au ht kwenye kivaranda na hakuna kwa kukuuliza na zaidi hela inatulia kwenye wallet(feelings za u Don)...
Tatzo linaanza pale kichwa cha chini kikianza kuwaza na kuwazua...ht vile videmu ulisema hiki nasafisha rungu mara moja tu sirudii tena picha zao zinaanza kutanda na kurindima kichwani...hapo shetani anakua amekaa mkao wa kuangalia cinema na popcon zake kwa pembeni...anakuangalia utapiga simu au utajiunga chaputa kwa muda...either way its win to him..[emoji1787][emoji1787]
Nini kimekupata huko tena mkuu
Hahahaha, Siku zote au?Mara hii uko single?
Hahahaha, shemeji ?Sema shemeji