Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
๐๐๐๐ Mshipa Bwana..Niambie bwana hata kwa kuninon'goneza,๐Nitakuambia siku nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐ Mshipa Bwana..Niambie bwana hata kwa kuninon'goneza,๐Nitakuambia siku nyingine
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mshipa Bwana..Niambie bwana hata kwa kuninon'goneza,[emoji12]
๐๐๐๐[emoji125][emoji125][emoji125]
Tena iwe ile ya kurudi home SAA 10, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weeeh kwali???!!!!...mbona Kama Kuna kengele imegonga kwa head yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HahahahaUzuri wa mwanaume anaweza kuwa single lakini rungu linasafishwa deileee...[emoji23][emoji23][emoji23] Kwetu Sasa..mhh[emoji849]
Ooh kumbe....Kutokua na mpenzi wakueleweka/wakudumu
Tunazuiliwa kupaka sabuni uko kwa bibi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]kwani nyie mnakwama wapi?
Upo toka mwaka jana mbonKware tumechelewa kuuona huu uzi aiseeh!
vibomba vya toilet vinawapa sana viburi wenzako we kaa usubirie sabuni wakati kuna mpaka maji ya vuguvugu eti na vimbwa!Tunazuiliwa kupaka sabuni uko kwa bibi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]vibomba vya toilet vinawapa sana viburi wenzako we kaa usubirie sabuni wakati kuna mpaka maji ya vuguvugu eti na vimbwa!
Utapakaje sabuni kitu laini hiyo mamaTunazuiliwa kupaka sabuni uko kwa bibi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We nyau kweli ๐๐๐umenichekesha mbavu zinauma. Sasa ntajuaje kuwa haya mahusiano yanalegea nijichomeke?Loneliness sucks! Sasa kama huku kwetu leo jua halijawaka kabisa imagine hiyo baridi yake eti huko single, huko tu hapo umekikaliza kumsubiri Mr right. Utachelewa dada ๐๐๐
We tafuta mahusiano yaliolegea legea ujichomeke.
Hayatumii sanitizerWe nyau kweli [emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha mbavu zinauma. Sasa ntajuaje kuwa haya mahusiano yanalegea nijichomeke?
HahaWe nyau kweli ๐๐๐umenichekesha mbavu zinauma. Sasa ntajuaje kuwa haya mahusiano yanalegea nijichomeke?
Mitaani kwetu? Hapana kwanza sipendagi mahusiano ya karibu sana.hata hivyo nahisi hiyo ligi siiwezi nikishajua tu jimbo lina mgombea siangaiki๐๐๐Haha
Mahusiano legevu mbona uwa hayajifichi? We angalia angalia huko mtaani kwenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
pole yako nimeipokea na nasema aaante.Mimi nawapa pole wote mlio single mnaokosa mautamu jamani
saaaana.sometimes tunaenjoy na usingle ila dah! usingle unaboa sana