Tulio single tujuane

Tulio single tujuane

Weeeh kwali???!!!!...mbona Kama Kuna kengele imegonga kwa head yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena iwe ile ya kurudi home SAA 10, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Loneliness sucks! Sasa kama huku kwetu leo jua halijawaka kabisa imagine hiyo baridi yake eti huko single, huko tu hapo umekikaliza kumsubiri Mr right. Utachelewa dada ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

We tafuta mahusiano yaliolegea legea ujichomeke.
We nyau kweli ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚umenichekesha mbavu zinauma. Sasa ntajuaje kuwa haya mahusiano yanalegea nijichomeke?
 
We nyau kweli ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚umenichekesha mbavu zinauma. Sasa ntajuaje kuwa haya mahusiano yanalegea nijichomeke?
Haha
Mahusiano legevu mbona uwa hayajifichi? We angalia angalia huko mtaani kwenu
 
Haha
Mahusiano legevu mbona uwa hayajifichi? We angalia angalia huko mtaani kwenu
Mitaani kwetu? Hapana kwanza sipendagi mahusiano ya karibu sana.hata hivyo nahisi hiyo ligi siiwezi nikishajua tu jimbo lina mgombea siangaiki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom