qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729
Si nyie ndo mnasema dunian wanaume ni wachache wanawake ni wengi sasa achen tu tubananeTatizo ni kuomba omba hela tu! Matokeo yake unajiegamiza kwa waume za watu [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si nyie ndo mnasema dunian wanaume ni wachache wanawake ni wengi sasa achen tu tubananeTatizo ni kuomba omba hela tu! Matokeo yake unajiegamiza kwa waume za watu [emoji23][emoji23][emoji23]
@DarmianNipo single tokea September last year..and to be honest,it's pretty sweet,I'm loving it.
Niambie mrembo,unataka unihurumie nini na mimi niwe mtu kati ya watu?@Darmian
[emoji23]sometimes tunaenjoy na usingle ila dah! usingle unaboa sana
Niko single kwasababu sina hela ya kuhonga 🥺🥺🥺😁Habarin zenu..? leo tujuane tulio single na kwa nin tuko single [emoji174]
mwenzenu niko single kwa sababu bado sijampta aliye ubavu wangu naangaika na mibavu ya watu mwshowe naumizwa tuView attachment 1561737
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah kumbe? LolKufurahia Maisha tuu bila mfadhaiko wakukosa pair!
Tafuta helaNiko single kwasababu sina hela ya kuhonga [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji16]
#YNWA
Hahaha hyo madeko ni a.k.a au ?[emoji23]Asante Jojo Madeko..!!
#YNWA
Karibu tuijaribu hii style[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah kumbe? Lol
Watu wanajua ukiwa single hunyundui kumbe ndio mtu humalizi siku 3 hujapiga chombo kipyaaNipo single tokea September last year..and to be honest,it's pretty sweet,I'm loving it.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanajua ukiwa single hunyundui kumbe ndio mtu humalizi siku 3 hujapiga chombo kipyaa
Hahahaha kwan kuwa single maaan yake nnWatu wanajua ukiwa single hunyundui kumbe ndio mtu humalizi siku 3 hujapiga chombo kipyaa
Usijali kiduku[emoji3]Huu uzi ni wa masingle. Sasa nyie wadada mnaokoment humu halafu tukiwafata PM hamtujibu mna maana gani?
Mbna nmekufata PM umenichunia?Usijali kiduku[emoji3]
Kutokua na mpenzi wakueleweka/wakudumuHahahaha kwan kuwa single maaan yake nn