sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Hiii ni aibu kwa mara ya pili azania inavuta mkia, hakika si jambo jema ni jambo la kuumiza hasa sisi tuliosoma pale na kuondoka na one zetu kali!
Hiv mzimu gani anawaandama vijana wanao kwenda kusoma pale?
Enzi zetu,haikuwa hivyo,jamn kma ulisoma azaboy ungana na mimi ktika kilio hiki maana si cha kawaida.
Jaman tena tumekuwa wa mwsho tena kitaifa?wapi tuliopita pale ebu km inawezekana tukutane pale tujadiri.
Post sent using JamiiForums mobile app
Hiv mzimu gani anawaandama vijana wanao kwenda kusoma pale?
Enzi zetu,haikuwa hivyo,jamn kma ulisoma azaboy ungana na mimi ktika kilio hiki maana si cha kawaida.
Jaman tena tumekuwa wa mwsho tena kitaifa?wapi tuliopita pale ebu km inawezekana tukutane pale tujadiri.
Post sent using JamiiForums mobile app