cheetah255
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 1,376
- 2,393
Wewe unaenda mbingu ipi hiyo ya malikia jiwe au ingine?.Sisi ambao tuko kwenye safari ya kwenda mbinguni tukoment wapi?
Ile ya wasiopenda uzinzi na machafukoWewe unaenda mbingu ipi hiyo ya malikia jiwe au ingine?.
Kwani limefutwa?.Kama vipi tuandamane jukwaa pendwa lirudishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo modes atuunge na sisi wapya basiHivi kwanini modes mnapenda kunyanyasa watu.Nimeangaika kutuma maombi ya kupata leseni ya kuingia jlw kwa tabu.Nimeendika barua kama naomba kazi,chaajabu nimefika huko sijatimiza hata mwaka mmenitoa bila notes yoyote.Hebu toeni maelezo haraka kabla mwenyekiti wa jkl castr na wajumbe wa kamati ya nidhamu hawajanipa adhabu ya kukosa vikao vitatu mfululizo.