Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Yaani Yesu amefufuka haleluya, halafu wewe unataka kuzini?!😳😳😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah uzi unanihusu huuKwa yeyote ambaye yupo mpweke geto tuu hamna cha manz wala nini tuambiane.
Mimi ndio wakwanza hapa nahesabu nyuzi jf maan sina cha kunfariji
Kiongozi wa mabachera nipo hapa tunaomba utume kreti hiyo na biskuti za kuchangamsha mdomo sawaNaomba kiongozi wenu anione mara moja, nimpe hela awaletee kreti la mirinda nyeusi...
Mtapata na vibiscuit vya ben 10 vinauzwa sh 100 pakti 1Kiongozi wa mabachera nipo hapa tunaomba utume kreti hiyo na biskuti za kuchangamsha mdomo sawa
Duuuuh, au utuletee mihongo ya kutafuna ili tupige chaputa😁😁🤣🤣🤣🤣Mtapata na vibiscuit vya ben 10 vinauzwa sh 100 pakti 1
Kwahiyo mnahitaji mihogo, karanga na nazi mtafune! Mngesema mapema sasa wale kina shangazi wanauza washalala sahivi.... itabidi mlalie mikono sawa ndugu zangu?!Duuuuh, au utuletee mihongo ya kutafuna ili tupige chaputa😁😁🤣🤣🤣🤣
Sawa tu Yesu kafufuka, afu kuna binadamu kafariki.Yaani Yesu amefufuka haleluya, halafu wewe unataka kuzini?!😳😳😳
Naked truthUnaweza kuwa na mtu na ukawa mpweke kuliko alie single
Ila nimegundua ni kipajiAshukuliwe aliyebuni hii kitu inaitwa movie/ series.
Mimi nina miaka sijui maana ya upweke. Naanzaje kuwa mpweke wakati movie zipo? Labda umeme ukatike.
Kama naniKinacho nishangaza JF kuna watu wana Avatar za kuvutia yaani unajua kabisa hii pisi kali.
Lakini inakukazia
Inshort pisi za JF hazina huruma
princess arianaKama nani
Weka list nikusaidie
vitu costant hivyoKwani umekuja jf kutafuta mchumba