Tulioambiwa Marburg, nchini hakuna taarifa mpya?

Tulioambiwa Marburg, nchini hakuna taarifa mpya?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Magonjwa yanayoangukia kwenye 'haemorrhagic fever" huwa siyo ya kupuuza, labda tu huko ambako watu hujifungua mawe.

"Huko hata ule mwingine kutokea pande za Wuhan, uliwahi kuitwa kaupepo."

Kwenye haemorrhagic fever kama iliyotupiga, siku 21 zinazobeba matumaini ya kuondokana na magonjwa hayo, huwa ni zaidi wa wimbo wa taifa. Hadi watoto wadogo macho huwa kwenye tarehe zenye kubeba siku za matumaini.

Ama kweli ni Tanzania tu ambako sehemu ya nchi imepigwa na gonjwa baya hili, hakuna mrejesho, watu kutoka juu hadi chini meno nje wanakenua na hakuna mrejesho wowote.

Hii ni North Korea style ambako hata majina ya watu yanaweza kuwa nyara za serikali.

Uko wapi mrejesho kutokea Maruku na Kanyangereko?

Au hata kwetu mrejesho nao ni nyara za serikali?
 
Si Waziri mhusika alishatoa mrejesho ugonjwa upo contained!! Au ulitaka uambiwe washakufa kadhaa wanaumwa kadhaa ndo raha yako!!

Tanzania hakuna Marburg, ugonjwa umeshaondoka kama ulivyoingia!! Tupo salama!! Wee chapa kazi upate kuwa ma kesho njema!!
 
I wee, washora waitu, rudi nyumbani ooh mshaija hakuna tena ugonjwa hali ni shwari kabisa!
 
Si Waziri mhusika alishatoa mrejesho ugonjwa upo contained!! Au ulitaka uambiwe washakufa kadhaa wanaumwa kadhaa ndo raha yako!!

Tanzania hakuna Marburg, ugonjwa umeshaondoka kama ulivyoingia!! Tupo salama!! Wee chapa kazi upate kuwa ma kesho njema!!

Uliwahi kusikia ugonjwa huu au ule mwenzie kuwa huwa una siku 21 pendwa zinazohusiana na kuondokana nao?

Au wewe zako ni kukenua tu kwa maana uliambiwa uko contained?

Zingatia mrejesho maana yake kamili ni nini ndugu.
 
Magonjwa yanayoangukia kwenye 'haemorrhagic fever" huwa siyo ya kupuuza, labda tu huko ambako watu hujifungua mawe.

"Huko hata ule mwingine kutokea pande za Wuhan, uliwahi kuitwa kaupepo."

Kwenye haemorrhagic fever kama iliyotupiga, siku 21 zinazobeba matumaini ya kuondokana na magonjwa hayo, huwa ni zaidi wa wimbo wa taifa. Hadi watoto wadogo macho huwa kwenye tarehe zenye kubeba siku za matumaini.

Ama kweli ni Tanzania tu ambako sehemu ya nchi imepigwa na gonjwa baya hili, hakuna mrejesho, watu kutoka juu hadi chini meno nje wanakenua na hakuna mrejesho wowote.

Hii ni North Korea style ambako hata majina ya watu yanaweza kuwa nyara za serikali.

Uko wapi mrejesho kutokea Maruku na Kanyangereko?

Au hata kwetu mrejesho nao ni nyara za serikali?
Kuna mlipuko mpya?
 
Uliwahi kusikia ugonjwa huu au ule mwenzie kuwa huwa una siku 21 pendwa zinazohusiana na kuondokana nao?

Au wewe zako ni kukenua tu kwa maana uliambiwa uko contained?

Zingatia mrejesho maana yake kamili ni nini ndugu.

Wee mbuzi nini,, anayekenua mimi au wewe unachekelea magonjwa, mse.nge wewe!!
 
Hii Marburg nilisikia imeshaondoka nchini, japo updates ya wagonjwa hatukupewa ila tuliambiwa tu ghafla wameshapona wote.
 
Hii Marburg nilisikia imeshaondoka nchini, japo updates ya wagonjwa hatukupewa ila tuliambiwa tu ghafla wameshapona wote.
Huwa kuna siku 21 bIla mgonjwa zinazotakiwa kupita kabla ya kuthibitishwa kutokomea. Au kibongo bongo hamna haja?
 
Lugha isivuke mipaka mkuu
Hao ni ile mijamaa ya hovyo isiyokuwa na mchango wowote kwa taifa hili. Usishangae ni jamaa lenye watoto wakubwa hata wenye kusoma secondary.

Bure kabisa!
 
Hao ni ile mijamaa ya hovyo isiyokuwa na mchango wowote kwa taifa hili. Usishangae ni jamaa lenye watoto wakubwa hata wenye kusoma secondary.

Bure kabisa!
Watu wanajisahau sana nafasi yao ktk jamii
 
Watu wanajisahau sana nafasi yao ktk jamii

Mijitu kama hiyo Dkt. Mollel aliiona:

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg
 
Huwa kuna siku 21 bIla mgonjwa zinazotakiwa kupita kabla ya kuthibitishwa kutokomea. Au kibongo bongo hamna haja?
Sijui kama hizo siku zilipita, naona kama wana haraka ya kututuliza pressure mapema..
 
Sijui kama hizo siku zilipita, naona kama wana haraka ya kututuliza pressure mapema..

Jamii ya magonjwa haya huthibitishwa kutoweka nchini zikipita siku 21 bIla ya uwepo wa mgonjwa na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom