Tulioandaa na waliotayari kuandaa sherehe baada ya Mwigulu kutumbuliwa tujuane mapema

Mwigulu na makamba wakiondokewa watu watazidi kukupenda Sana Mheshimiwa Raisi Samia.. watu hawa wawili Wanafanya madudu mengi lakini unawaangalia TU..kuzidi kuwaangalia TU na haufanyi chochote inakuangamiza kisiasa
 
Mkuu kuna mafuta toka Ujerumani yako special kwa kunyandulia mbususu, na kuziandaa vizuri, na Niko na full kits za kujiweka sawa
Na ukitaka kuifaidi, uje uifanye na akili zako timamu.

Ukitoka hapo ndiyo unaenda kuumwagilia moyo kwa fujo hadi serikali ya Samia ije kusikitika!
 
Shida ni SYSTEM na si MWIGULU... Hata akitumbuliwa haimsaidii mkazi wa Kindumba kule Mtowisa Jimbo la Kwera pembeni mwa Ziwa Rukwa...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
NDOTO CHAFU ZIWATOKE, MWIGULU DAIMA, NDIO KIONGOZI NA WAZIRI PEKEE ALIYEAMUA KUPAMBANA KUHAKIKISHA MIRADI YOTE ILIYOACHWA INAKAMILIKA KWA 100%,TUACHE MIIGIZO YA WAHUNI WASIOTAKA MIRADI IISHE ILI WAPATE LA KUONGEA.
 
Daah hii kiboko hakuna kitu kama hicho kama wabunge wameambiwa wajadili uganga na sisi tumeambiwa twende Burundi unategemea nini?
 
Punguza matumaini fanya kazi enjoy kidogo ulichonacho/ukipatacho

Mwigulu akibaki au akitoka akuna kitu kitabadilika
 
NDOTO CHAFU ZIWATOKE, MWIGULU DAIMA, NDIO KIONGOZI NA WAZIRI PEKEE ALIYEAMUA KUPAMBANA KUHAKIKISHA MIRADI YOTE ILIYOACHWA INAKAMILIKA KWA 100%,TUACHE MIIGIZO YA WAHUNI WASIOTAKA MIRADI IISHE ILI WAPATE LA KUONGEA.
Aombe radhi bila hivyo atoka huyo mrundi
 
Count me in...[emoji23]
 
"Dalili za kuzeeka ni pamoja na kuanza kuwa na chuki zisizo vigezo vyovyote kwa wengine "
 
Mwigulu na makamba wakiondokewa watu watazidi kukupenda Sana Mheshimiwa Raisi Samia.. watu hawa wawili Wanafanya madudu mengi lakini unawaangalia TU..kuzidi kuwaangalia TU na haufanyi chochote inakuangamiza kisiasa



Kwani Makamba naye anajibu wananchi majibu ya kejeli Na dhihaka?
Sizani kama iwapo anatabia yoyote ya ujeuri huyu labda useme lingine kama lipo!

Hanaga roho mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…