Tulioanza shule mapema tukutane hapa.

Mbona kawaida watoto now days kuanza shule wakiwa na 5yrs
 
Jaman Avatar mwanzisha uzi c anacfia walioanaa shule mapema au

Sasa jiwe unajua inichanganyapo mimi ulipo sema kuchelewa shule ukawahi maisha kwanza! Ndio nikashangaa hapo shule gani yaani level gani uzungumziayo hapo!!! Undergraduate /postgraduate???

Sidhani mtoto wa primary anauwezo wakufikiria ivyo, labda kama ulienda MMemkwa ukiwa mhenga uliekomaa vizuri
 
Maendeleo ya mtoto utayajua ndio, lakini hujui hayo maendeleo uyaonayo inamghalimu mwalimu kiasi gani kufanikisha icho akipatacho
 
Hata kabla ya 60s..
Well, you tell us!!! Ahsante
 
[emoji1] [emoji1] ujue nimecheka sana mleta uzi mwenyewe ajawa specific kuwai shule kwenye level ipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…