Jaman Avatar mwanzisha uzi c anacfia walioanaa shule mapema au
Chalii yangu ana 5.5yrs mwakani anaingia class twoLeta ushuhuda
Chalii yangu ana 5.5yrs mwakani anaingia class two
Mm ni dingi yakeWewe ndie mwalimu wake?
Mm ni dingi yake
Kwahyo kama mm sio mwl wake hata maendeleo ya mtoto kama mzazi sijui?Siri ya mtungi aijuaye kata!
Najua wewe sio mwalimu wake wa darasani
Hata kabla ya 60s..Aim yako hasa ni nini? Kujipongeza, kulalama, kutetea au kujiona bora? Watu waliosoma enzi za sixties wote walianza shule na umri huo hasa shule za kanisa katoliki wakati huo shule nyingi zilikuwa private na watu walilipa fees. Kama umesoma shule za UPE na umri huo, pole. Au Lumumba ilikupeleka IST?
[emoji1] [emoji1] ujue nimecheka sana mleta uzi mwenyewe ajawa specific kuwai shule kwenye level ipiSasa jiwe unajua inichanganyapo mimi ulipo sema kuchelewa shule ukawahi maisha kwanza! Ndio nikashangaa hapo shule gani yaani level gani uzungumziayo hapo!!! Undergraduate /postgraduate???
Sidhani mtoto wa primary anauwezo wakufikiria ivyo, labda kama ulienda MMemkwa ukiwa mhenga uliekomaa vizuri
karibu sana mdada mzuri jiwe[emoji1] [emoji1] ujue nimecheka sana mleta uzi mwenyewe ajawa specific kuwai shule kwenye level ipi