MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kesho navalia kabisa na Jezi yangu ya Benin hivyo mliopo katika Kibanda Umiza Tegeta Nyuki ole wenu Kesho mniguse mtanitambua.
Na nimetoka kupata Mkanda wangu Mweusi wa Karate pale kwa Warusi Sea View Upanga na kwa Mwezi sasa Kocha wake Twaha Kiduku alikuwa akinifundisha Kupiga Ngumi za Kujeruhi na Kumuwahisha Mtu Mochwari.
Tusilazimishane Kushangilia Taifa Stars Kesho ikicheza na Benin huko Jijini Cotonou kwani Mightier siwezi Kushangilia Timu ya Taifa yenye Michezaji mingi Mibovu kutoka Yanga SC kama Bakari Mwamnyeto, Feisal Salum ( Fei Toto ), Kibwana Shomary na Zawadi Mauya bora kidogo kwa akina Dickson Job na Farid Musa.
Kila Ia Kheri Benin mtufunge Tanzania!!!
Na nimetoka kupata Mkanda wangu Mweusi wa Karate pale kwa Warusi Sea View Upanga na kwa Mwezi sasa Kocha wake Twaha Kiduku alikuwa akinifundisha Kupiga Ngumi za Kujeruhi na Kumuwahisha Mtu Mochwari.
Tusilazimishane Kushangilia Taifa Stars Kesho ikicheza na Benin huko Jijini Cotonou kwani Mightier siwezi Kushangilia Timu ya Taifa yenye Michezaji mingi Mibovu kutoka Yanga SC kama Bakari Mwamnyeto, Feisal Salum ( Fei Toto ), Kibwana Shomary na Zawadi Mauya bora kidogo kwa akina Dickson Job na Farid Musa.
Kila Ia Kheri Benin mtufunge Tanzania!!!