Tuliofanikiwa kuacha pombe hadi 2018 tupeane uzoefu

Nashukuru Mungu baada ya kuangaika na pombe nikinywa hasubuhi naunwa kichwa na sa nyingine natapika usiku saizi safii napiga kiriku zangu za kilimanjaro mambo safi hasbuhi kama skunywa pombe .saiz mambo safi
 
Dah! Niliacha pombe 2015.
Wadau hawakuamini, lakini ilibidi wakubali matokeo hadi sasa.

Ilikuwa nikipitisha siku bila kunywa moyo unauma na kusononeka. Ila kwasasa si mtumwa wa pombe tena.
 
Dah! Niliacha pombe 2015.
Wadau hawakuamini, lakini ilibidi wakubali matokeo hadi sasa.

Ilikuwa nikipitisha siku bila kunywa moyo unauma na kusononeka. Ila kwasasa si mtumwa wa pombe tena.
Duuh
Mi pia hawaani,
Kwa Sasa Nashindwa ntaanzaje,
Ila Sitaki kurudi nyuma
 
Dah! Niliacha pombe 2015.
Wadau hawakuamini, lakini ilibidi wakubali matokeo hadi sasa.

Ilikuwa nikipitisha siku bila kunywa moyo unauma na kusononeka. Ila kwasasa si mtumwa wa pombe tena.
Substitute ya pombe ni nini?
 
Hongera Mkuu Kwa Jitihada Za Kusoma Bible Na Kutafuta Mahubiri Hii Itakusaidia Me Leo Nakupa Blog Moja Ambayo Utakula Na Kunywa Kiroho Ni Www.Sanga.Wordpress.Com Mimi Hii Nimeijua 2014 Namshukuru Mungu Imenijenga Kiroho Pia Youtube Kuna Mahubiri Ya Walim Kama Mwakasege , Benin ,pastor Chris Nk Fb Unaweza Like Page Ya Mwl Nikk, Peter Mabula, Mwl Cornad Cowel, Abel Suleiman Shiriwa, Mwl Dickson Kabengula , PAMOJA KATIKA KUUTEKA UFALME WA MBINGUNI viva 2018
 
Asante Mkuu,
Ntafanyia kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…