Tuliofeli kidato cha 4 tukutane hapa

Tuliofeli kidato cha 4 tukutane hapa

Tulio pata division 4 na Zero (0) kidato cha NNE, na tumetoboa kimaisha , tukutane hapa..


Aiseee, Mimi kidato cha NNE nilikula Zero nzuri tu, nikaingia mtaani kupambana, sahiv mambo super .


Walio nicheka, wananiangalia kwa aibu sahivi.
Duh jf bwana..nakumbuka majuzi umelalamika umeajiriwa mshahara unaishia katikati ya mwezi🤭
 
Tulio pata division 4 na Zero (0) kidato cha NNE, na tumetoboa kimaisha , tukutane hapa..


Aiseee, Mimi kidato cha NNE nilikula Zero nzuri tu, nikaingia mtaani kupambana, sahiv mambo super .


Walio nicheka, wananiangalia kwa aibu sahivi.
Kuna tofauti kubwa sana mwenye Elimu asiye na pesa na mwenye pesa asiyekua na Elimu!

FYI! Ni kwamba tunasoma sio lengo letu kupata pesa,lengo ni kua na exposure ya maisha,kuweza kuendesha maisha in the soft way,tofauti na wewe unadhani kusoma ni kuja kua na pesa au tariji mkubwa!

FYI! Ni kwamba, Matajiri wengi duniani wana Elimu,ndiyo maana wana endelesha makampuni yao! Wasio kua na Elimu kampuni zao,hua haziendi mbali,hua zinakuja kufa kibudu tu!

Nenda Shinyanga uliza tajiri mmoja alikua anaitwa Paul Ng'hwani alikua na malori Pulling siku hizi mnayaita Semi kichanja,yalikua yameandikwa Neema ya Mungu,uliza yaliishia wapi, Mabasi ya Mombasa Raha,Malori ya Nchambi's, Mabasi ya Mohammed yako wapi?? Nenda Kahama kaulize Charles Masuka,Paul Msimba na SAS wako wapi siku hizi?? Nenda shule acha ujinga! Elimu ndiyo itakufanya uwe na wigo mpana wa kudadavua mawazo!
 
Kuna tofauti kubwa sana mwenye Elimu asiye na pesa na mwenye pesa asiyekua na Elimu!

FYI! Ni kwamba tunasoma sio lengo letu kapata pesa,lengo ni kua na exposure ya maisha,kuweza kuendesha maisha in the soft way,tofauti na wewe unadhani kusoma ni kuja kua na pesa au tariji mkubwa!

FYI! Ni kwamba, Matajiri wengi duniani wana wana Elimu,ndiyo maana wana endelesha makampuni yao! Wasio kua na Elimu kampuni zao,hua haziendi mbali,hua zinakuja kufa kibudu tu!

Nenda Shinyanga uliza tajiri mmoja alikua anaitwa Paul Ng'hwani alikua na malori Pulling siku hizi mnayaita Semi kichanja,yalikua yameandikwa Neema ya Mungu,uliza yaliishia wapi! Nenda Kahama kaulize Charles Masuka,Paul Msimba na SAS wako wapi siku hizi?? Nenda shule acha ujinga! Elimu ndiyo itakufanya uwe na wigo mpana wa kudadavua mawazo!
mkuu kumekucha sio kwa username hyo.
 
Tulio pata division 4 na Zero (0) kidato cha NNE, na tumetoboa kimaisha , tukutane hapa..


Aiseee, Mimi kidato cha NNE nilikula Zero nzuri tu, nikaingia mtaani kupambana, sahiv mambo super .


Walio nicheka, wananiangalia kwa aibu sahivi.
Mkuu; maisha ni safari ndefu yenye milima, mabonde na miiba.
Nafikiri kama uko age ya 30 hadi 50 kusema umetoboa kimaisha unajidanganya.
Hii yawezekana ni upepo wa pesa umekuvumia tu na safari bado ndefu sana.

Funga mkanda zaidi japo huwa ni kipofu humdondokea yeyote msomi na Msukuma type
 
Kuna tofauti kubwa sana mwenye Elimu asiye na pesa na mwenye pesa asiyekua na Elimu!

FYI! Ni kwamba tunasoma sio lengo letu kupata pesa,lengo ni kua na exposure ya maisha,kuweza kuendesha maisha in the soft way,tofauti na wewe unadhani kusoma ni kuja kua na pesa au tariji mkubwa!

FYI! Ni kwamba, Matajiri wengi duniani wana Elimu,ndiyo maana wana endelesha makampuni yao! Wasio kua na Elimu kampuni zao,hua haziendi mbali,hua zinakuja kufa kibudu tu!

Nenda Shinyanga uliza tajiri mmoja alikua anaitwa Paul Ng'hwani alikua na malori Pulling siku hizi mnayaita Semi kichanja,yalikua yameandikwa Neema ya Mungu,uliza yaliishia wapi, Mabasi ya Mombasa Raha,Malori ya Nchambi's, Mabasi ya Mohammed yako wapi?? Nenda Kahama kaulize Charles Masuka,Paul Msimba na SAS wako wapi siku hizi?? Nenda shule acha ujinga! Elimu ndiyo itakufanya uwe na wigo mpana wa kudadavua mawazo!
SAS watoto wake wanaiendesha vizuri tu godown zake zimekodiwa na tumbaku na ana maroli mengi tu,.
Hao Mombasa raha zile bus zilikua za dada mtu aliekua akiishi uingereza baada ya kufa kaka zake waliuza hizo gari kwa Ally's na wao kuendelea na biashara ya maroli na mpk wako vizuri huku wakikodi ginery na wanatenda ya kubeba mizigo ya olam.
Mohamed baada ya kufa mke na watoto waliwekeeza zaidi kwenyebiashara ya kununua almas na dhahabu.
 
SAS watoto wake wanaiendesha vizuri tu godown zake zimekodiwa na tumbaku na ana maroli mengi tu,.
Hao Mombasa raha zile bus zilikua za dada mtu aliekua akiishi uingereza baada ya kufa kaka zake waliuza hizo gari kwa Ally's na wao kuendelea na biashara ya maroli na mpk wako vizuri huku wakikodi ginery na wanatenda ya kubeba mizigo ya olam.
Mohamed baada ya kufa mke na watoto waliwekeeza zaidi kwenyebiashara ya kununua almas na dhahabu.
Nadhani pia wana plant kahama hao unaowataja!
 
SAS watoto wake wanaiendesha vizuri tu godown zake zimekodiwa na tumbaku na ana maroli mengi tu,.
Hao Mombasa raha zile bus zilikua za dada mtu aliekua akiishi uingereza baada ya kufa kaka zake waliuza hizo gari kwa Ally's na wao kuendelea na biashara ya maroli na mpk wako vizuri huku wakikodi ginery na wanatenda ya kubeba mizigo ya olam.
Mohamed baada ya kufa mke na watoto waliwekeeza zaidi kwenyebiashara ya kununua almas na dhahabu.
Unachanganya sana maboya! Hujui kitu!

SAS baada ya Baba yao kufariki,walikua na Malori yameandikwa SAS pale mwendakulima karibu na Buzwagi! Siku hivi kuna lori hata moja lipo hapo?? Niambie siku hizi Malori yao yanaitwaje?? Huwezi pata pesa nyingi kwenye kukodisha godown kama walivyo kua zamani! The same na Paul Ng'hwani,alipangisha nyumba yake kwa Oxfam,yeye akaenda kupanga sehemu,sasa hapo ndiyo unasema bado una pesa??

Mombasa Raha hapa ndiyo hujui kabisa! Dada yao aliyeko uingereza ni mke wa Super Doll, na hajafa bado yuko hai! Aliyefariki ni Kaka yao na Baba yao! Suleiman Msoud Nchambi's,akaingia kwenye siasa,akawa Mbunge wa Kishapu,lakini hana kitu! Yale Malori yao yaliyokua yana tender yakupeleka mafuta Buzwagi yako wapi???

Mohammed Trans,hawapo sokoni! Mabasi mengi yalipigwa mnada na TRA au Bank kulipa madeni! Hizo kampuni nazijua in and out so naongea ninachokijua,kuwekeza kwenye Madini sio tija sana,sasa unawekeza let's say kule mwakitolyo,then unasema una mgodi wa Madini?? Kwenye biashara ya Madini ni kama kamari,unaweza wekeza huko na usipate Madini
 
Four Four Fight For Food For Four yeas!
 
Tulio pata division 4 na Zero (0) kidato cha NNE, na tumetoboa kimaisha , tukutane hapa..


Aiseee, Mimi kidato cha NNE nilikula Zero nzuri tu, nikaingia mtaani kupambana, sahiv mambo super .


Walio nicheka, wananiangalia kwa aibu sahivi.
Huwezi kupata Division Zero Shuleni halafu ukawa na maisha mazuri Mtaani, labda ufanye Ujambazi, au uwe Mshirikina..

Binafsi huwachukulia wale wanaopata Div. Zero kuwa ni watu wasiojitambua hata kwenye maisha ya kawaida.. Kupata Division zero ni ngumu kuliko kupata Division One in my Opinion.
 
Back
Top Bottom