Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Ya Nachingwea nilisikia nikajua jamaa wanamidanganya
 
Sawa,kwa sasa naona ni risk sana kufanya kilimo kisichokua cha kumwagilia

Vipi utarudi tena shambani?
Nkipata pesa mkuu ntarejea mkuu.Sema mkuu nna uwanja wangu upo Chamazi kama una mtu anahitaji nicheki ni 7mill
 
Mnaolima matunda huwa nawahurumia sana, kijumla mkulima ni mtu wa kulaliwa tu, ndo maana wengi wanaojua wanajikita katika kununua mazao
 
Mnaolima matunda huwa nawahurumia sana, kijumla mkulima ni mtu wa kulaliwa tu, ndo maana wengi wanaojua wanajikita katika kununua mazao
Ni kweli kabisa dalali/mfanyabiashara anapokuja kununua anakulalia anajua huna ujanja wa kuhifadhi zaid ya siku mbili lazima uuze tu
 
Kuna mchanganyiko tuliwaekea pamoja na saruji.Tuliwapunguza ila hawakuisha.Nyoka hapana mkuu
 
Na mimi nataka kufuga mbuzi
 
Mi nawashauri usilime kabla ya kutafuta soko
 
Hao broiler unawatengenezea au unawanunulia chakula
 
Washenz sana wafugaji mwaka jana waliingiza ng'ombe wakala dengu zangu zote tukaenda na Mr kutia mikwaraaaaa na kutoa report police,wakiingiza tena ng'ombe zao tutaziuuaa!So far nimeanza kuvuna mpunga hawajaingiza tenaaa wale washenzi ukiwachekea wanakupa umaskini
 
Una nyota ya fisi=tamaa... Hapo tu, unaacha mia iliyoko mkonon kwa 300 yakusadikika
 
Risk na tamaa kwako vinaenda sambamba
Sikujui unijui kwanini nikunyweshe chai ya matango?
Tamaa huenda huo ndio udhaifu wangu.Kilimo kina kazi na changamoto nyingi sana.Unapovuna unategemea kupata faida.Kama una ona kuna fursa ya kupata pesa nyingi kwanini usijitose.Maisha ni risk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…