ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
ulistahili kufeli, kidato cha nne mwandiko mbayaaaaa
Nyie naona mmeumia roho kujua sisi form four ndio tuna mahela kuliko nyieHata ulivyoandika bila kuzingatia taratibu za kiuandishi, ningeshangaa kama ungesema ulifaulu form 4.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huo mwandiko si wa watu wenye hela.Nyie naona mmeumia roho kujua sisi form four ndio tuna mahela kuliko nyie
Nyie pamoja na wale mliokimbia Umande form one kuweni wasomaji tuKuna ambao mtihani wa form 2 ulikuwa kikwazo cha kutupeleka form 4 unatuweka kundi gani! ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah haya banaNyie pamoja na wale mliokimbia Umande form one kuweni wasomaji tu