James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Na sisi Wengine tunataka Ku express through purging. Some animals need this...People experience and express their anger in a lot of different ways. Some yell, scream, swear, or insult others ( kama alivyofanya). Obviously, the way to respond to different anger expressions will differ kwangu niliona nirespond namna ile.
Karibu mkuu,tunabeba na mabox kama ukiwa unahama...sisi kazi nzito ndiyo kazi zetuNimecheka hatari. Nyie watu Mungu awabariki.
Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!
Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina umuhimu.. Nikaamua Kujiunga na Veta na Maisha yanasonga!
Vipi wewe umekutana na hali kama hii ukaamua kuishia S/Msingi? na unafanya nini sasa!
Santana
As an elites we must show our impacts on our societies, may we react as an intelectuals?People experience and express their anger in a lot of different ways. Some yell, scream, swear, or insult others ( kama alivyofanya). Obviously, the way to respond to different anger expressions will differ kwangu niliona nirespond namna ile.
HahahaaLa saba kwa kiwango hichi cha utambuzi wa lugha umetisha english course zinatuokoa
safi sana MkuuNaam,
Mimi niliishia darasa la sita nikaamua kwenda zangu kubeba boksi huko na maisha yanasonga kama kawaida.
Sijawahi lala njaa maishani.
Huyu na yule aliegongewa demu wake kweupe hawana tofauti, halafu wanadhalilisha CHAMA CHA WAONGO sifa mojawapo ni kuwa na kumbukumbu
Noted Boss!Huyu na yule aliegongewa demu wake kweupe hawana tofauti, halafu wanadhalilisha CHAMA CHA WAONGO sifa mojawapo ni kuwa na kumbukumbu
Na hii huwa inanichosha kweli yaani TZ yetu hata uwe na phd bila kiingereza watu hawatakuweka kwenye kundi la wasomi ila kasome hata english koz na ukiporomoshe vizuri kiinglish hata kama umeishia la pili utaonekana msomi tu,kweli kabisa, ili aonekane msomi lazima aongee kiingereza kidogo, Nimekupata Chief Mondray
Hahaha wacha Nijifunze Ngeli aseeNa hii huwa inanichosha kweli yaani TZ yetu hata uwe na phd bila kiingereza watu hawatakuweka kwenye kundi la wasomi ila kasome hata english koz na ukiporomoshe vizuri kiinglish hata kama umeishia la pili utaonekana msomi tu,
Kabisa mkuuHahaha wacha Nijifunze Ngeli asee
Si kila mmoja wetu amefanikiwa kufikia level kubwa ya Elimu wengine tuliishia Shule ya Msingi!
Binafsi mimi Nimeishia darasa la 5, baada ya kujikuta sipendi shule wala kusoma.. nikaona haina umuhimu.. Nikaamua Kujiunga na Veta na Maisha yanasonga!
Vipi wewe umekutana na hali kama hii ukaamua kuishia S/Msingi? na unafanya nini sasa!
Santana
Daah Big up mwana.. life mwororoMimi ndo wala sijali.Nimeishia zangu la saba.Na nimekula ndumu za kutosha na sasa maisha burdan, nina mke mzuriiii napapachua tu, sina msongo wa mawazo.Kudaadenye.
Gotcha! [emoji106][emoji106]As an elites we must show our impacts on our societies, may we react as an intelectuals?
Thanks..Gotcha! [emoji106][emoji106]
Kuzilipa sasa inaumaje[emoji13][emoji13][emoji13].[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] yani ukiishiwa unajulikana tu maana kama lectures ulikua unadoji, ukiishiwa tu unakuwa muudhuriaji mzur tena unakaa viti vya mbele kabisa.
Hahaha au ndo test zinaanza na uko na slides kama 300Kuzilipa sasa inaumaje[emoji13][emoji13][emoji13].
Si mchezo . unavua na wigi unaweka pembeni unabaki real you[emoji13][emoji13][emoji13]Hahaha au ndo test zinaanza na uko na slides kama 300
Hahahaa.. umenikumbusha Mbali mwaka fulani tulikuwa tukifanya Paper la Mt271 pale theatre II (udsm).. dada mmoja alikaa pembeni yangu nikashangaa anaanza kutetemeka.. majasho hayo mpaka nikaogopa hazikupita dakika tano akazimia.. Chuo sio Mchezo!Si mchezo . unavua na wigi unaweka pembeni unabaki real you[emoji13][emoji13][emoji13]
Hahaha au ndo test zinaanza na uko na slides kama 300