Tulioitwa Dodoma Kwenye Usahili wa Awali TAKUKURU (PCCB) hebu tujuzane kidogo

Tulioitwa Dodoma Kwenye Usahili wa Awali TAKUKURU (PCCB) hebu tujuzane kidogo

SaulGoodman

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2020
Posts
418
Reaction score
906
Habari za wakati ndugu zangu, natumaini mu wazima. Bila kupoteza muda naomba nielekee kwenye hoja ya msingi.

Leo Tume ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) wametoa orodha ya majina ya watu waliofuzu kwenda Dodoma kufanya usahili wa awali wa maandishi (amplitude test) siku ya tarehe 8 January 2022 katika vituko vilivyopangwa kulingana na utaratibu wao.

Nikiwa mmoja wa waliochaguliwa ningependa kupata heads-up, tips, clues na uzoefu kuhusu interview hiyo. Naomba kuwasilisha .
 
samahani kwenye ile fomu kuna sehemu inahitajika ujaze taarifa za mzaz mahali alipo mfano Baba ,Ila haijatoa option kuwa kama labda mojawapo ya mzaz ashafariki ,je Kama mzaz ashafariki inabidi hicho kipengele uachane nacho bila kukigusa ?
 
Vijana mna matatizo sana, mmeitwa kwenye kitu nyeti kama hicho nyie mnakimbilia JF kuripoti?

Kwani lazima kujuana?

PCCB ni idara nyeti, muwe na siri mtakosa mambo mazuri bila sababu za msingi.
Waeleze mkuu, wenzenu hawasemagi hovyo, ndugu zetu wapo wakubwa tu majeshini na walivyondoka walichuna sio matangazo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom