yonga 1989
Member
- Sep 20, 2018
- 14
- 10
Jkt, umri nilijaza na cheti cha STD7...Kwa kweli nilijaza taarifa za uongo lakini ajabu nimeitwa..nawaza sijui niache kuchoma nauri yangu au niichome tu....Tafadhali napokea ishauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani umeitwa Tena baada ya usaili ulofanya jmos ama vipi, ebu tuweke wazi kwanza tukusaidieJkt, umri nilijaza na cheti cha STD7...Kwa kweli nilijaza taarifa za uongo lakini ajabu nimeitwa..nawaza sijui niache kuchoma nauri yangu au niichome tu....Tafadhali napokea ishauri
AhaaaWadau wanasema pepa ilikuwa na maswali hadi ya logarithms aseee wa HKL HGL walikomaje... emu mtuambie aseee