Tulioitwa usaili wa OSHA tukutane hapa

Wakuu mliofanya interview osha vp kada ya electrical inspector tayar?? Leo kuna namba imenipigia marambili simu ilikuwa mbali , +255222771069 sasa sijuh ndio jamaa wa osha?? Au nipe uzoefu
Vipi uliconfirm umeitwa au bado?
 
Mwenye updates jamani vipi wameita watu kazini.​
 
Hao OSHA wanachukua watu wa IT?????? Mwenye kujua anijuze wakuu
 
Sawa OSHA wanakula sana rushwa wakija kukagua sehemu.
 
Vp wakuu tupeane madesa kwa wale watu wa building and construction inspector ( Civil engineer 11) kwa OSHA huwa wanauliza maswali gani na paper lao huwa lina base wapi? Waliowahi kupiga paper tujuzane bhas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…