YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
- Thread starter
-
- #21
itakuja kufika 1200 inakuwa sawa na bei ya kilo ya unga. Sehemu nilipo bado ni 1700
Nasubiria yafike 1000 niweke kwenye kisima kabisa π€£ π€£ π€£ π€£
Wengine tunasuburi sukari ishuke bei
Luckman1
Kabisa unaweza ukafa na hela zako ndio zinakuua mwenye.Tatizo Usalama[emoji3][emoji3][emoji3]
Kuweni makini, wengine mtajidanganya kununua lita nyingi na kuweka.majumbani mwenu, mtaangamiza familia zenu Kama ule msiba wa Msamvu- morogoro!
Sijui upo sekta gani il unatakiwa ujue kuwa kuna sekta zimeumia sana sasa endelea kuomba Mungu hili jana liishe kabla makali hayajakufikiaWakuu Heshima Kwenu!
Hii ofa naomba Iendelee, yanii hapa ndipo pa kuonekana Mchawi Wa Kuombea ***** Uko Uarabuni Isikate Ili Mambo Yawe Hivii[emoji23][emoji23][emoji23]
Kesho Naweza Hata Kuchagua Njia Yeyote Nzurii Ya Kufika Kazini, Full Kiyoyozi Ndingani, Na Kwenye Foleni Hakuna Kuzima Gari [emoji119][emoji119][emoji119]
Unaweza ukakuta unatumia hela nyingi kuliko vile ulivyokua unatumia mwanza.Wakuu Heshima Kwenu!
Hii ofa naomba Iendelee, yanii hapa ndipo pa kuonekana Mchawi Wa Kuombea ***** Uko Uarabuni Isikate Ili Mambo Yawe Hivii[emoji23][emoji23][emoji23]
Kesho Naweza Hata Kuchagua Njia Yeyote Nzurii Ya Kufika Kazini, Full Kiyoyozi Ndingani, Na Kwenye Foleni Hakuna Kuzima Gari [emoji119][emoji119][emoji119]
πππππππ
Ile ist ya kuhongwa umeipiga bei?Tusio na magari tunaruhusiwa kucomment humu
Hata vitz sina mkuuIle ist ya kuhongwa umeipiga bei?
Haiwezekani,Hata vitz sina mkuu
Unaweza ukakuta unatumia hela nyingi kuliko vile ulivyokua unatumia mwanza.
Maana zamani ulikua unajicontrol sababu ya kuhofia gharama sasa hivi utaanza route zisizo na kichwa wala mguu sababu ukifikiri gharama imeshuka