Tuliokoswakoswa kuuawa na majambazi tukutane huku

Tuliokoswakoswa kuuawa na majambazi tukutane huku

chapachapa

Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
93
Reaction score
21
Naanza kwa kusema MUNGU mkubwa na ashukuriwe.

Naanza kwa kusema majambazi ni watu wabaya Sana tena ni hatari, Binafsi nilikuwa na sehemu yangu ya biashara na nikianzisha biashara ya stationary nikavutiwa na biashara ya kuuza vocha za simu kwa jumla...

Siku ya siku ikafika mchana wa saa 8:30 alikuja mteja mmoja akitaka kununua vocha ya elfu moja tu, pamoja na kumwambia nauza jumla alisisitiza kwamba ana shida ya haraka, nilipompa ghafla akaingia mwingine na mwingine na kuanza kuniambia tumekuja kuchukua pesa unaweka wapi?

Niliona Kama ni ndoto lakini lakini sio ndoto, wote wakichomoa bastola na kukoki kunielekezea nilichofanya ni kupiga yowe la ujasiri na kukata tamaa kwamba liwalo na liwe.

Mmoja akarukia ndani ya eneo ninakohifadhi vocha na pesa na kuanza kukusanya na kujaza mifuko huku nikiwa chini ya ulinzi wao...

Kifupi walifanIkiwa kunipora licha ya makelele niliyopiga msaada wa majirani ulithibitiwa na jambazi mmoja maana walipojaribu kuja risasi moja ilipigwa hewani na kusambaratisha.

Wanausalama walikuja baada ya saa moja na kukuta majambazi wamesepa na kila kitu.

Hata hivyo shukurani kwao maana walifanikiwa kuizingira gari walilitumia baada ya kulitelekeza.

Na jambazi Kiongozi alikamatwa baada ya siku kadhaa.
Kesi ilifuata mlolongo wake na watuhumiwa watatu wakifikishwa mahakamani .... Walifungwa miaka 30... Habari za uhakika wawili walifia jela kwa maradhi mbalimbali
MUNGU ashukuriwe ... Miaka hii ujambazi umepungua
 
Naanza kwa kusema MUNGU mkubwa na ashukuriwe.

Naanza kwa kusema majambazi ni watu wabaya Sana tena ni hatari, Binafsi nilikuwa na sehemu yangu ya biashara na nikianzisha biashara ya stationary nikavutiwa na biashara ya kuuza vocha za simu kwa jumla...

Siku ya siku ikafika mchana wa saa 8:30 alikuja mteja mmoja akitaka kununua vocha ya elfu moja tu, pamoja na kumwambia nauza jumla alisisitiza kwamba ana shida ya haraka, nilipompa ghafla akaingia mwingine na mwingine na kuanza kuniambia tumekuja kuchukua pesa unaweka wapi?

Niliona Kama ni ndoto lakini lakini sio ndoto, wote wakichomoa bastola na kukoki kunielekezea nilichofanya ni kupiga yowe la ujasiri na kukata tamaa kwamba liwalo na liwe.

Mmoja akarukia ndani ya eneo ninakohifadhi vocha na pesa na kuanza kukusanya na kujaza mifuko huku nikiwa chini ya ulinzi wao...

Kifupi walifanIkiwa kunipora licha ya makelele niliyopiga msaada wa majirani ulithibitiwa na jambazi mmoja maana walipojaribu kuja risasi moja ilipigwa hewani na kusambaratisha.

Wanausalama walikuja baada ya saa moja na kukuta majambazi wamesepa na kila kitu.

Hata hivyo shukurani kwao maana walifanikiwa kuizingira gari walilitumia baada ya kulitelekeza.

Na jambazi Kiongozi alikamatwa baada ya siku kadhaa.
kesi yake imeishia wapi?
 
Hujamaliza stori yako unataka tukuulize za kwetu wewe vipi?

Je unalijua jiwe Fatuma?

Basi iko hivi miaka ya nyuma Sisi tulio kula chumvi kidogo watakumbuka khs Fatuma,

Siku moja nikiwa nimemtembelea broo maskani yake, maeneo ya mbulahati kwa Msee Sudi sio Mzee Sudi ni Msee Sudi kitambo hiyo.hapa kazi mnayo watoto wa juzi.
Miaka hiyo ujambazi umeshika hatamu huu wa kuvunja nyumba za watu na kuiba vitu kama thamani, radio, TV,nk.

Kulikua na majambazi yaliyokua yakupa na taarifa fupi kwa njia ya maandishi kuwa Leo wanakuja kwenye mji wako kuchukua vyao.

Kumbe big broo anao ujumbe unao msononesha siku hiyo,ikabidi aniambie dogo Leo tulale wote hapa sebuleni kuna wageni watakuja usiku wa Leo hivyo inatupasa kupambana nao, huku akiwa ana andaa zana zake za kujihami,nilitamani nimuombe nauli usiku huo ili nirudi Tarakea home,

Hatukulala usingizi hapo sebuleni ilipofika usiku kama wa saa 9 hivi tukasikia vishindo upenuni mwa nyumba na minong'Ono kwa mbali broo fasta akaelekea mlangoni huku ameshika upanga na nondo mkono mwingine ,jamaa wakawa wanagonga ili wafunguliwe na wasilete madhala yoyote.


Itaendelea...naona bando linakaribia ku expire
 
Hujamaliza stori yako unataka tukuulize za kwetu wewe vipi?

Je unalijua jiwe Fatuma?

Basi iko hivi miaka ya nyuma Sisi tulio kula chumvi kidogo watakumbuka khs Fatuma,

Siku moja nikiwa nimemtembelea broo maskani yake, maeneo ya mbulahati kwa Msee Sudi sio Mzee Sudi ni Msee Sudi kitambo hiyo.hapa kazi mnayo watoto wa juzi.
Miaka hiyo ujambazi umeshika hatamu huu wa kuvunja nyumba za watu na kuiba vitu kama thamani, radio, TV,nk.

Kulikua na majambazi yaliyokua yakupa na taarifa fupi kwa njia ya maandishi kuwa Leo wanakuja kwenye mji wako kuchukua vyao.

Kumbe big broo anao ujumbe unao msononesha siku hiyo,ikabidi aniambie dogo Leo tulale wote hapa sebuleni kuna wageni watakuja usiku wa Leo hivyo inatupasa kupambana nao, huku akiwa ana andaa zana zake za kujihami,nilitamani nimuombe nauli usiku huo ili nirudi Tarakea home,

Hatukulala usingizi hapo sebuleni ilipofika usiku kama wa saa 9 hivi tukasikia vishindo upenuni mwa nyumba na minong'Ono kwa mbali broo fasta akaelekea mlangoni huku ameshika upanga na nondo mkono mwingine ,jamaa wakawa wanagonga ili wafunguliwe na wasilete madhala yoyote.


Itaendelea...naona bando linakaribia ku expire
daaah
 
Hujamaliza stori yako unataka tukuulize za kwetu wewe vipi?

Je unalijua jiwe Fatuma?

Basi iko hivi miaka ya nyuma Sisi tulio kula chumvi kidogo watakumbuka khs Fatuma,

Siku moja nikiwa nimemtembelea broo maskani yake, maeneo ya mbulahati kwa Msee Sudi sio Mzee Sudi ni Msee Sudi kitambo hiyo.hapa kazi mnayo watoto wa juzi.
Miaka hiyo ujambazi umeshika hatamu huu wa kuvunja nyumba za watu na kuiba vitu kama thamani, radio, TV,nk.

Kulikua na majambazi yaliyokua yakupa na taarifa fupi kwa njia ya maandishi kuwa Leo wanakuja kwenye mji wako kuchukua vyao.

Kumbe big broo anao ujumbe unao msononesha siku hiyo,ikabidi aniambie dogo Leo tulale wote hapa sebuleni kuna wageni watakuja usiku wa Leo hivyo inatupasa kupambana nao, huku akiwa ana andaa zana zake za kujihami,nilitamani nimuombe nauli usiku huo ili nirudi Tarakea home,

Hatukulala usingizi hapo sebuleni ilipofika usiku kama wa saa 9 hivi tukasikia vishindo upenuni mwa nyumba na minong'Ono kwa mbali broo fasta akaelekea mlangoni huku ameshika upanga na nondo mkono mwingine ,jamaa wakawa wanagonga ili wafunguliwe na wasilete madhala yoyote.


Itaendelea...naona bando linakaribia ku expire
huu usenge

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hujamaliza stori yako unataka tukuulize za kwetu wewe vipi?

Je unalijua jiwe Fatuma?

Basi iko hivi miaka ya nyuma Sisi tulio kula chumvi kidogo watakumbuka khs Fatuma,

Siku moja nikiwa nimemtembelea broo maskani yake, maeneo ya mbulahati kwa Msee Sudi sio Mzee Sudi ni Msee Sudi kitambo hiyo.hapa kazi mnayo watoto wa juzi.
Miaka hiyo ujambazi umeshika hatamu huu wa kuvunja nyumba za watu na kuiba vitu kama thamani, radio, TV,nk.

Kulikua na majambazi yaliyokua yakupa na taarifa fupi kwa njia ya maandishi kuwa Leo wanakuja kwenye mji wako kuchukua vyao.

Kumbe big broo anao ujumbe unao msononesha siku hiyo,ikabidi aniambie dogo Leo tulale wote hapa sebuleni kuna wageni watakuja usiku wa Leo hivyo inatupasa kupambana nao, huku akiwa ana andaa zana zake za kujihami,nilitamani nimuombe nauli usiku huo ili nirudi Tarakea home,

Hatukulala usingizi hapo sebuleni ilipofika usiku kama wa saa 9 hivi tukasikia vishindo upenuni mwa nyumba na minong'Ono kwa mbali broo fasta akaelekea mlangoni huku ameshika upanga na nondo mkono mwingine ,jamaa wakawa wanagonga ili wafunguliwe na wasilete madhala yoyote.


Itaendelea...naona bando linakaribia ku expire
Alafu unakuja kumalizia kwa mistari michache kuliko ulichoiandika mara ya kwanza.
 
Hujamaliza stori yako unataka tukuulize za kwetu wewe vipi?

Je unalijua jiwe Fatuma?

Basi iko hivi miaka ya nyuma Sisi tulio kula chumvi kidogo watakumbuka khs Fatuma,

Siku moja nikiwa nimemtembelea broo maskani yake, maeneo ya mbulahati kwa Msee Sudi sio Mzee Sudi ni Msee Sudi kitambo hiyo.hapa kazi mnayo watoto wa juzi.
Miaka hiyo ujambazi umeshika hatamu huu wa kuvunja nyumba za watu na kuiba vitu kama thamani, radio, TV,nk.

Kulikua na majambazi yaliyokua yakupa na taarifa fupi kwa njia ya maandishi kuwa Leo wanakuja kwenye mji wako kuchukua vyao.

Kumbe big broo anao ujumbe unao msononesha siku hiyo,ikabidi aniambie dogo Leo tulale wote hapa sebuleni kuna wageni watakuja usiku wa Leo hivyo inatupasa kupambana nao, huku akiwa ana andaa zana zake za kujihami,nilitamani nimuombe nauli usiku huo ili nirudi Tarakea home,

Hatukulala usingizi hapo sebuleni ilipofika usiku kama wa saa 9 hivi tukasikia vishindo upenuni mwa nyumba na minong'Ono kwa mbali broo fasta akaelekea mlangoni huku ameshika upanga na nondo mkono mwingine ,jamaa wakawa wanagonga ili wafunguliwe na wasilete madhala yoyote.


Itaendelea...naona bando linakaribia ku expire
Uandishi huu umeshamir sana cku hz JF
 
Hujamaliza stori yako unataka tukuulize za kwetu wewe vipi?

Je unalijua jiwe Fatuma?

Basi iko hivi miaka ya nyuma Sisi tulio kula chumvi kidogo watakumbuka khs Fatuma,

Siku moja nikiwa nimemtembelea broo maskani yake, maeneo ya mbulahati kwa Msee Sudi sio Mzee Sudi ni Msee Sudi kitambo hiyo.hapa kazi mnayo watoto wa juzi.
Miaka hiyo ujambazi umeshika hatamu huu wa kuvunja nyumba za watu na kuiba vitu kama thamani, radio, TV,nk.

Kulikua na majambazi yaliyokua yakupa na taarifa fupi kwa njia ya maandishi kuwa Leo wanakuja kwenye mji wako kuchukua vyao.

Kumbe big broo anao ujumbe unao msononesha siku hiyo,ikabidi aniambie dogo Leo tulale wote hapa sebuleni kuna wageni watakuja usiku wa Leo hivyo inatupasa kupambana nao, huku akiwa ana andaa zana zake za kujihami,nilitamani nimuombe nauli usiku huo ili nirudi Tarakea home,

Hatukulala usingizi hapo sebuleni ilipofika usiku kama wa saa 9 hivi tukasikia vishindo upenuni mwa nyumba na minong'Ono kwa mbali broo fasta akaelekea mlangoni huku ameshika upanga na nondo mkono mwingine ,jamaa wakawa wanagonga ili wafunguliwe na wasilete madhala yoyote.


Itaendelea...naona bando linakaribia ku expire
Wewe na kula chumvi bado una mamboa ya episode itaendelealea hebu ficha aibu, unafanya mambo kama hivi vitoto vya juzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom