Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Ila majambazi acheni banah wasikie tu wasikukute na wanataka kitu ulichonacho, majambazi ni magaidi yani ni magaidi, mimi walikua wakate shingo na panga, hiyo siku sema gambe likaniokoa, nilikua na vitu kichwani full kujihami yani gambe noma sana, walikua ntu tatu na sisi tupo wawili na jamaa yangu tukavamiwa pah jamaa yangu ni mrefu halafu alikua ni mtu wa makareti ila siku hile alitulia yani ninatembea nae nasema nipo na mwana ni ulinzi tosha, dah sasa tumevamiwa mimi nikaparangana nao na nina gambe kichwani so najiona baunsa sana pigana nao sanaa yani sio mchezo ilikua mida ya usiku kidogo saa sita hivi nimetoka kwenye harusi naelekea club aisehh wale jamaa walinishambulia na mapanga dah jamaa yangu katulia tuli, nikapanga nao mkono sijui hata mkono wa kurusha ngumi nilitoa wapi, niliona suluhu ni kuwa face walinipa mapanga nilivuja damu sana, wakachukua simu na pesa kidogo wakakimbia mfuko wa shati ndiyo kulikua na hela ila hawakusachi zaidi ya mifuko ya suruali, siji sahau hilo nilicheza nilishonwa nyuzi nyingiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app