abdulazizi4172
Member
- Jun 29, 2022
- 16
- 11
Wale PCB's waliokuwa na ndoto za MD halafu tukajikuta ni walimu tukutane hapa kujadili kilichotufelisha wenzetu wajifunze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu wanafanya Kaz kubwa ya kulielimish taifa.ww unasema walimu walifeli ww ndo umefeli zaidi maana umefumdishwa na walimu waliofeli kwa maoni yako.inasikitisha unamfundisha kijana halafu anaanza kukutukana ATI mwl wake umefeli.Je kusoma huko lilikua chaguo lenu au ndio nguvu ya mkopo?
mkopo...!!!! unaongelea nin shekhee?Je kusoma huko lilikua chaguo lenu au ndio nguvu ya mkopo?
Si lazima mkuu, wapo watu walifeli halafu wakatimiza ndoti zao piaUkifeli lazima uende ualimu hakuna namna
🤔🤔 kuna watu wanaitwa autodidacts hawa huwa wanajifunza wenyewe kila kitu alimradi wana uwezo wa ku access any material hawa unawaongeleaje?Walimu wanafanya Kaz kubwa ya kulielimish taifa.ww unasema walimu walifeli ww ndo umefeli zaidi maana umefumdishwa na walimu waliofeli kwa maoni yako.inasikitisha unamfundisha kijana halafu anaanza kukutukana ATI mwl wake umefeli.