Tuliokuwa tunashika nafasi za mkiani darasani, come please.

mkoroshokigali sijakupata mheshimiwa, nataka nijue jinsi ulivyoichukua post yangu ukaileta kwenye post yako na kuijibu, kala maana yake ni nini?
 
Last edited by a moderator:
nilishawai kuwa wa 37 kati ya 43 form two 1996 ,kipindi hicho mama yangu alikuwa anakaanga mihogo ilitusome watoto wanne sekondari plus baba katutelekeza.AISEE mama yangu alivyoona matokeo alilia sana na mimi niliumia sana ndio ikawa mwanzo wakufanya vizuri mpaka leo
 

Mpaka leo??? Mbona unaonekana kilaza??? Una umasikini wa fikra kwa kujiita majina ya watu.
 
Mpaka leo??? Mbona unaonekana kilaza??? Una umasikini wa fikra kwa kujiita majina ya watu.

do you know the meaning of username ID in jf? karibu jamiiforum
Member Array


Join Date : 30th November 2013
Posts : 35
Rep Power : 308
Likes Received2
Likes Given61
 
Mimi ningekuwa moderator ningekupiga bani ya kufa mtu kwa kusema uongo, hapo kwenye red utasemaje kuwa ukiandika kitu cha maana kinafutwa? Ni mara ngapi umeandika kitu cha maana wakati kwenye JF huna hata miezi mitatu

mkuu kuandika vitu vya maana kuna uhusiano wowote na muda mtu aliojisajili hapa?

iam really disappointed with you!

dont judge others by just looking at your front ear only!
 

hongera kilaza wa enzi hizo!! teh teh!

lakini nakuja shangaa ulifaulu vipi darasa la saba kama uliendelea kushika nafasi za tatu mwisho bora!!

eti mkuu, hebu tuambie!!!!
 
mkoroshokigali sijakupata mheshimiwa, nataka nijue jinsi ulivyoichukua post yangu ukaileta kwenye post yako na kuijibu, kala maana yake ni nini?

ukitaka kama hivi unabonyeza kitufe cha reply mdau,
pale kwenye kala i meant color
 
Last edited by a moderator:
mkuu kuandika vitu vya maana kuna uhusiano wowote na muda mtu aliojisajili hapa?

iam really disappointed with you!

dont judge others by just looking at your front ear only!

As gentlemen nimeshaapologise, please check post number 16
 

Hahahaha pole sana mkuu
 
Nimeongoza sana kipindi cha primary,secondary lakini chuoni daah kitu kingine kabisa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…