... Mawasilino to Kibangu si ndio kabisa zinaunganishwa na ultra-modern fly over; the newest flyover duniani kwa sasa? Foleni inatoka tena wapi? Maajabu nchi hii hayaishi.Ila foreni ya jana shikamoo. Kutokea Mawasiliano kuja Kibangu nimetumia masaa 2. Sijui mkiokua mnaenda Buguruni mmefika au bado
Mkuu umeuaa ...shukrani sanaKutokana na miundombinu mibovu kama barabara kujaa maji automatically magari yana slowdown na mengine yanazimika njiani. Slowdown ya, say, one hour rush hours athari zake sio mchezo. Kwa mfano, kwenye kipande ambacho kwa dk. 30 yalitakiwa yawe yamekatiza magari 1000 under normal circumstances badala yake under slowdown yatakatiza, say, 400 hivyo utaona ndani ya muda huo huo wa slowdown magari 600 yatalazimika kuwa "on waiting" ambayo ndio foleni yenyewe!
Huo ni mfano wa dk. 30 tu; kadiri muda unavyoenda ndivyo speed inazidi kupungua na rate ya foleni kuongezeka hadi itafikia situation hakuna gari linalosogea! Na hali huwa mbaya zaidi blockage inapotokea kwenye junction; hakuna gari inayokatiza kuelekea upande wowote yanakuwa yameji-lock kwenye loop ambayo hakuna kwenda wala kurudi - stand still mode. Simple mathematics!
Hata katika mazingira ambayo sio ya mvua au hali mbaya ya hewa, ukikukatana na dereva mmoja mpuuzi naendesha kijinga rush hours "mtukane" maana madhara anayosababisha huko nyuma sio ya kawaida. In fact, kuna haja ya kuangalia upya sheria 50km/hrs; ifike mahali kuwe na minimum speed baadhi ya maeneo kuondoa kero ya foleni.
Hoja dhaifu kabisa, kwani ni kila mvua ya siku moja huwa inaleta mafuriko? Je Tanzania ni nchi ya kwanza kuwa na Mafuriko duniani? Je nchi nyingine zilizoendelea zinazopata mafuriko kwamba hazina miundombinu mizuri??Dah,
Muda huu Saa Nane na Nusu usiku ndo naingia home. Nimetoka Stesheni saa kumi na moja jioni, gari ilikua nusu tank but kufika Victoria imeisha mafuta Sababu ya Foleni. Nimeingia hasara kununua tena mafuta Sababu tu ya kifoleni-mshenzi cha Palm Beach.
Nimeshinda na Njaa muda wote huo, sijala Chochote toka nlivokula saa saba mchana ndo nakuja kula muda huu. Hapa nimejitia risk ya vidonda vya tumbo. Home nimewaweka macho kunisubiri ili tu wasije wakapitiwa na usingizi na mlango haujafungwa.
Why nailaumu serikali? Sababu yenyewe ndio inajinasibu kuwa kwa miaka mitano hii imejenga Miundombinu ya kutosha hivyo tuichague Tena.
Hivi ni Miundombinu gani hiyo mvua ya siku moja mji mzima haupitiki kwa amani kila mahala foleni na/au mafuriko? Why Jangwani mpaka leo karne ya 21 kimvua cha siku moja tu panafungwa?
Kwa kweli katika hili nasema hapana, lazima tuonyeshane hapo 28-10 iwe isiwe.
Haikuwa na wese!Hivi kwanini hamkupanda dreamliner iwafikishe mpk majumbani kwenu wakuu?
Mmebomoa na bado hatufiki!Watu wanafiki, tukiwabomolea tujenge miundombinu kelele kama zote, hameni mabondeni hamtaki! Mvua haijaletwa na serikal ya ccm
Mvua imetusaidia kucampaignCCM sijui watajibu nini hapa. Maana haya ni maji ya shingo ndani miaka 50 na zaidi kero ni zile zile miaka yote. Pale Jangwani hata kipindi cha kiangazi panaonesha siyo sehemu aminika kabisa bado wakapitisha na Mwendokasi.
Hii kitu itawapotezea sana kura kama wataendeleza viburi kwa kujibu eti kwan Mvua imeletwa na CCM
Tunataka maendeleo ya watu, wewe unapigia chapuo maendeleo ya vituDah,
Muda huu Saa Nane na Nusu usiku ndo naingia home. Nimetoka Stesheni saa kumi na moja jioni, gari ilikua nusu tank but kufika Victoria imeisha mafuta Sababu ya Foleni. Nimeingia hasara kununua tena mafuta Sababu tu ya kifoleni-mshenzi cha Palm Beach.
Nimeshinda na Njaa muda wote huo, sijala Chochote toka nlivokula saa saba mchana ndo nakuja kula muda huu. Hapa nimejitia risk ya vidonda vya tumbo. Home nimewaweka macho kunisubiri ili tu wasije wakapitiwa na usingizi na mlango haujafungwa.
Why nailaumu serikali? Sababu yenyewe ndio inajinasibu kuwa kwa miaka mitano hii imejenga Miundombinu ya kutosha hivyo tuichague Tena.
Hivi ni Miundombinu gani hiyo mvua ya siku moja mji mzima haupitiki kwa amani kila mahala foleni na/au mafuriko? Why Jangwani mpaka leo karne ya 21 kimvua cha siku moja tu panafungwa?
Kwa kweli katika hili nasema hapana, lazima tuonyeshane hapo 28-10 iwe isiwe.
Yaani wewe ujenge nyumba yako kwenye mtaro wa maji alafu utafite mchawi..?Dah,
Muda huu Saa Nane na Nusu usiku ndo naingia home. Nimetoka Stesheni saa kumi na moja jioni, gari ilikua nusu tank but kufika Victoria imeisha mafuta Sababu ya Foleni. Nimeingia hasara kununua tena mafuta Sababu tu ya kifoleni-mshenzi cha Palm Beach.
Nimeshinda na Njaa muda wote huo, sijala Chochote toka nlivokula saa saba mchana ndo nakuja kula muda huu. Hapa nimejitia risk ya vidonda vya tumbo. Home nimewaweka macho kunisubiri ili tu wasije wakapitiwa na usingizi na mlango haujafungwa.
Why nailaumu serikali? Sababu yenyewe ndio inajinasibu kuwa kwa miaka mitano hii imejenga Miundombinu ya kutosha hivyo tuichague Tena.
Hivi ni Miundombinu gani hiyo mvua ya siku moja mji mzima haupitiki kwa amani kila mahala foleni na/au mafuriko? Why Jangwani mpaka leo karne ya 21 kimvua cha siku moja tu panafungwa?
Kwa kweli katika hili nasema hapana, lazima tuonyeshane hapo 28-10 iwe isiwe.
Rome was not built in one dayMmebomoa na bado hatufiki!
Rome was not built in one day
Hoja dhaifu kabisa, kwani ni kila mvua ya siku moja huwa inaleta mafuriko? Je Tanzania ni nchi ya kwanza kuwa na Mafuriko duniani? Je nchi nyingine zilizoendelea zinazopata mafuriko kwamba hazina miundombinu mizuri??
Hii ni hoja dhaifu kabisa. Ukishindwa kushukuru kwa kidogo ulichopata huwezi ukashukuru hata ukipewa kikubwa.
Mimi kura yangu kwa Magufuli
Sasa hizo kelele zako mbona hukuzipiga wakati huo wa Tanganyika/Tanzania, ukawa unafurahia mdumange, halfu within this 5 years unataka tuwe kama RomeWe kwenda zako, Tanzania na Tanganyika vina umri gani? Mna quote quote tu vitu!
Kwa hiyo unataka kusema mvua za maana zipo nchi zilizoendelea tu sio ndio? Au unataka kutuambia yani kwa mfano?Tanzania haina mvua za maana wewe za kusababisha haya,!
Ivi high way ya dar aifiki jangwani 😅Dah,
Muda huu Saa Nane na Nusu usiku ndo naingia home. Nimetoka Stesheni saa kumi na moja jioni, gari ilikua nusu tank but kufika Victoria imeisha mafuta Sababu ya Foleni. Nimeingia hasara kununua tena mafuta Sababu tu ya kifoleni-mshenzi cha Palm Beach.
Nimeshinda na Njaa muda wote huo, sijala Chochote toka nlivokula saa saba mchana ndo nakuja kula muda huu. Hapa nimejitia risk ya vidonda vya tumbo. Home nimewaweka macho kunisubiri ili tu wasije wakapitiwa na usingizi na mlango haujafungwa.
Why nailaumu serikali? Sababu yenyewe ndio inajinasibu kuwa kwa miaka mitano hii imejenga Miundombinu ya kutosha hivyo tuichague Tena.
Hivi ni Miundombinu gani hiyo mvua ya siku moja mji mzima haupitiki kwa amani kila mahala foleni na/au mafuriko? Why Jangwani mpaka leo karne ya 21 kimvua cha siku moja tu panafungwa?
Kwa kweli katika hili nasema hapana, lazima tuonyeshane hapo 28-10 iwe isiwe.
Na nyinyi sasa muwe mnajisifia kwa Vitu vya kusifika kweli. Sio mnajisifia kwa Miundombinu isiyohimili mikiki mikiki ya mvua ya siku moja.Hoja dhaifu kabisa, kwani ni kila mvua ya siku moja huwa inaleta mafuriko? Je Tanzania ni nchi ya kwanza kuwa na Mafuriko duniani? Je nchi nyingine zilizoendelea zinazopata mafuriko kwamba hazina miundombinu mizuri??
Hii ni hoja dhaifu kabisa. Ukishindwa kushukuru kwa kidogo ulichopata huwezi ukashukuru hata ukipewa kikubwa.
Mimi kura yangu kwa Magufuli
Acha uvivu, tafiti!Kwa hiyo unataka kusema mvua za maana zipo nchi zilizoendelea tu sio ndio? Au unataka kutuambia yani kwa mfano?