Uchaguzi 2020 Tuliokwama Kwenye Foleni Sababu ya Miundombinu Mibovu tuna Jambo Letu tarehe 28 Oktoba 2020

lako ulikuwa nalo tangu zamani, siyo kwa sababu ya mafuriko tu. Hata hivyo halitoshi
 
Mada moto: Mafuriko Jangwani, nini kingefanyika au nini kifanyike sasa?
 
Sisi huku walipokuja kwenye kampeni wakatuambia wamejenga barabara za juu Dar huko na mnapita juu mpaka majumbani kwenu,wamenunua ndege saba, sasa inakuaje mnasema barabara za jiji hazipitiki.Na kwanini msipande ndege kufika kwenu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daaa mkuu unatisha.
 
Nakumbushia tu Jambo letu ni leo Wakuu,
Jana pia kamvua ka robo siku tu Jangwani kukafungwa, watu wamechelewa kurudi majumbani mwao.
So wakuu tusiangushane katika hili.
 

Hahahahaha dua la kuku hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…