Tuliomaliza chuo tunalia na ajira mtaani

Tuliomaliza chuo tunalia na ajira mtaani

MWL MTZ

Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
39
Reaction score
2
tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.
 
Kaka fikiria kujiajiri na si kutembeza bahasha kama unataka kufanikiwa, otherwise kutoka ni ngumu kwa kuajiriwa
 
Back
Top Bottom