Tuliomaliza chuo tunalia na ajira mtaani

Tuliomaliza chuo tunalia na ajira mtaani

Tatizo sio kuangalia kozi za kusoma, mfumo wetu wa elimu ya juu hauwaandai wahitimu kujiajiri ama kutumia elimu yao kutengeneza fursa za ajira. ndo maana wengi wanazurura mjini na vibahasha.
Pia tuondoe mawazo ya kuwa ajira mjini tu(hasa Dar) mikoani pia kuna fursa mikoa mingi inayoitwa ya pembezoni iko under staffed,watu hawataki kwenda hilo nalo tatizo


<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.</strong></font>
 
Mliyoyasema kuhusu tatizo la ajira hapa nchini ni kweli tupu. Ili kujiari kimsingi huitaji mtaji mkubwa ili ufanye kazi na biashara kubwa. Kikubwa unachohitaji ni kuwa na uaminifu wa hali ya juu na kujituma kwa kiwango cha juu sana. Kwa vijana ambao mtakuwa tayari naomba tuwasiliane kwa namba 0654 467758 ili tuwasaidie kujiari. Kwa kuanzia mtaji wako hautakiwi kuzidi shilingi 100,000. Pia naomba kwa wale mlioko Dar mnunue kitabu kiitwacho YOU TOO, CAN. Kitabu hiki kimeandikwa na dada mmoja wa Kenya anaitwa Josephine Mugambi. Mnaweza kukipata pale Mlimani City. Bei yake ya rejareja ni shilingi 10,000 tu. Pia tembeleeni hizi tovuti kwa undani sana-- www.emeagwali.com; www.grameen-info.org; www.wikipedia.com; www.entrepreneur.com; www.personalMBA.com; Entrepreneur Magazine: Advice on Entrepreneurship for Starting and Growing a Business na Small Business Marketing - Website Strategies & Marketing Ideas

Nawasilisha

Josephat S. Sanda
READ & WIN INVESTMENTS
KEREGE, BAGAMOYO
0654 467758
Email: josephatsanda@yahoo.com
 
<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.</strong></font>

sasa mwalimu,si ungewaambia kabisa wadogo zetu wasisome nini ambacho unadhani soko la ajira halipo kwa wingi.unapowaambia waangalie course za kusoma unawaacha njia panda mdau!
 
Mwl, hanaham kabsa. Kaleta2 maada akasepa ktafta kaz...lol
 
Aisee tunalia jamani, mabosi tuoneeni huruma. Dah.
 
jamani hili tatizo la ajira wasomi wakitanzania limeanza kuota sugu sana na nafikiri hii ni time bomb ya hii serikali yetu kwa kweli ndio tutaongeza matapeli wezi wa kutumia karatasi mtaani . ni kweli mtaala w a ELIMU YETU UNATUANDAA SISI WASOMI WENGI WA KITANZANIA KUFANYA KAZI ZA KUAJIRIWA(WHITE COLLAR JOBS) KULIKO KAZI ZA KUJIARI BINAFSI ,NI SAWA LAKINI PIA TULITIZAME HILI SUALA KWA KINA SIO KILA MTU ANAWEZA KUJIARI MWENYEWE KWA SABABU NYINGI (mitaji,familia anayotoka, kozi aliyosoma nk). TU KITIZAMA MATAIFA MENGI MWAJIRI MKUBWA NI SERIKALI SASA SERIKALI YETU HAINA MIKAKATI KATIKA KUTENGENEZA AJIRA KWA AJILI YA RAIA WAKE .TATIZO JINGINE AMBALO KWA KWELI HILI NAOMBA VIJANA WENZANGU NA WASOMI WENGI TUJITAHIDI KUWA ELIMISHA WADOGO ZETU UCHAGUZI WA KOZI PINDI WAWAPO SEKONDARI TUNAJUA WENGI WETU TUNATOKA FAMILIA MASKINI WASOMI NI WACHACHE UNAKUTA UNAJIONGOZA MWENYEWE MPAKA UNAFIKA A LEVEL HUJUI UTASOMA NINI CHUO SASA UKIFIKA A LEVEL UNAKUTANA NA HADITHI ZA BCOM, TELECOMUNICATION COMPUTER SCIENCE , IT , BAF ,SOCIOLOGY , LAW (kwamba hizi kozi zina makert) NA WEWE BILA KUPATA USHAURI UNAINGIA KWENYE MKUMBO YAWEZEKANA UFAHAMU HILO SIO KOSA LAKO NI KOSA LA KIMFUMO NAWEZA KUKUPA MFANO MWAKA AMBAO MIMI NILIDAHILIWA CHUO KIKUU KUNA KOZI KAMA TELECOMUNICATION ENGINEERING INAWANAFUNZI 10-15 WAMZUMBE , 10 KIBAHA, 5-10 ILBORU KWELI HAWA WOTE WANAENDA TELECOM KWA KUIFAHAMU AU KWA SABABU INA CUT OFF KUBWA ILI AKAENDELEZE UTABE WAKE HUKO CHUO BILA KUZINGATIA HATIMA YA MAISHA YAKE?
nina mifano ya kozi kama telecom mwanzoni mwa miaka ya 2000 -2007 mwajiri mkubwa kwa wahandisi hawa walikuwa makampuni ya simu ,sasa makampuni ya simu yameamua kuOUTSOURCE karibia kazi zake nyingi za technical kwa makampuni madogo amabayo hayatumii wahandisi kwa sababu ni gharama kumlipa baadale wanatumia technician
YAWEZEKANA BCOM, BAF BBA,TELECOM, LAW ZINALIPA ,LAKINI JE UWEZI KUSOMA KOZI KAMA PROCUREMENT, LOGISTIC, ZOOLOGY, MECHANICAL, ELECTRICAL ,CIVIL, URBAN AND RURAL, QUANTITY SURVEY EDUCATION UKATOKA KIMAISHA
NI KWELI AJIRA NI NGUMU SANA MATATIZO HAYA KWA MTAZAMO WANGU YAPELEKEA SANA HILI TATIZO KUWA SUGU
I. SERIKALI ISIYO NA MIKAKATI
II. UCHAGUZI WA KOZI ZA KUSOMA VYUONI
III. MTAALA WA ELIMU YA KITANZANIA
MSIKATE TAMAA NDUGU ZANGU TAIFA HILI LINA WASOMI WACHACHE LAKINI WADHARAULIWA SANA JITAHIDI KUJIPANGA AMSHA AKILI JARIBUNI KUWA VENTURE MFANYE WALAU BIASHARA NDOGO TUTOKE TUTAFIKA TU MAANA MANTIKI YA KWANZA YA KWENDA SHULE NI KUKOMBOKA KIFIKRA
NAWASILISHA

Kamanda mambo ya parahraph muhimu! Nikiangalia haya maandishi nakosa nguvu za kuyasoma. Uko on point lakini.
 
Kamanda mambo ya parahraph muhimu! Nikiangalia haya maandishi nakosa nguvu za kuyasoma. Uko on point lakini.

Uvivu wa kusoma tu,...hujaelewa nini?. Ninyi ndio mnajiona wasomi kwa kufatilia vijipungufu vidogovidogo pasi kung'amua kilicho ongelewa! Acha uvivi, maarifa na utajiri wa kuelimika hupatikana katika Maandishi, usiwe mvivu ndg yangu! Mtazamo tu ndg yangu usifure mdomo!
 
Uvivu wa kusoma tu,...hujaelewa nini?. Ninyi ndio mnajiona wasomi kwa kufatilia vijipungufu vidogovidogo pasi kung'amua kilicho ongelewa! Acha uvivi, maarifa na utajiri wa kuelimika hupatikana katika Maandishi, usiwe mvivu ndg yangu! Mtazamo tu ndg yangu usifure mdomo!

Ndo njie hamjui jinsi ya kuandika hakafu mnalalamika kwanini hampati kazi, ukiandika hivyo inatupwa mara moja cover latter yako.
Jinsi unavyoandika inakupa picha ya muandishi, jifunze kijana!
 
Ndo njie hamjui jinsi ya kuandika hakafu mnalalamika kwanini hampati kazi, ukiandika hivyo inatupwa mara moja cover latter yako.
Jinsi unavyoandika inakupa picha ya muandishi, jifunze kijana!

We unajua kuandika?, halafu bado uko chuon eeh?. Malizia uje kitaa.
 
Back
Top Bottom