Tuliomaliza chuo tunalia na ajira mtaani

Tuliomaliza chuo tunalia na ajira mtaani

MWL MTZ

Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
39
Reaction score
2
<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course za kusoma.</strong></font>
 
lakini unalalmika nini mana ID yako inajieleza....................kazi zenu zipo nje nje
 
Sa c u2ambie coz gan za kusoma na zpi 2zikache?
 
Ebana isije ukawa mmojawapo ya waliomchangia JK hela ya kuchukua fomu mwaka jana.
 
Aliyekwambia kumaliza chuo lazima uajiriwe ni nani? kuna kujiajiri pia! Tatizo tulionalo vijana wakitanzania ni kufikiri kuwa ulichosomea ndo hicho tu unatakiwa ukifanyie kazi, nenda hata kwenye mahotel fanyakazi ya kuosha vyombo, kupiga deki na shughuri nyigine nyingi tu wakati unasubirli hiyo kazi nyingine, usisahau hakuna serkali makini hapa ya kutengeza ajira kwa vijana zaidi ya kujiangalia wenyewe.... pole sana mdogo wangu jichanganye na shughu yoyote itakayokuja mbeya yako.
 
Kwani chuo si mnafundishwa ujasiriamali sasa kwanini uhangaike na ajra za watu?
 
Back
Top Bottom