Tulioomba ajira uhamiaji tukutane hapa tuna kikao

Tulioomba ajira uhamiaji tukutane hapa tuna kikao

Hatakama itakua kweli wanapigiwa,ila interview mtaitwa tu.Hawawezi kujaza nafasi zote.
 
Katika sehemu zina undugurization ni uhamiaji.

Mjikaze wapambanaji.
 
20240130_215744.jpg
20240130_215750.jpg
20240130_215744.jpg
 
Serikali Haina utaratibu huo yatatangazwa majina kwenye mtandao pia magazetini
 
Mwenye sample ya usahili Maswali ya uhamiaji
Mdogo wangu Wahenga wa kizungu walisema, "Don't count your chickens before they hatch". Wengine wakasema, " Don't cook the sauce before catching the fish". Na wengine wenye busara pia walisema," The way to cook a rabbit is first to catch a rabbit ".
 
Back
Top Bottom