Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyosha maelezo mkuu. Hizo taarifa umezitoa wapi?Inasemekana watu wanapigiwa simu awatoi majina,je kuna yeyote aliyepigiwa simu?
Wao wamepigiwa simu au na wao wamesikia kuwa kuna watu wanapigiwa simu?Wanangu wamenambia
Ukose mara ngapi?? Uhamiaji 99% ni baba kantumaUwakika mzee nikikosa hii siombi tena
Wamepigiwa na kupewa maelekezo gani mkuu?. Usichoke na maswali yangu tunatafuta solution.Nimeona kabisa namba iliyowapigia sijajua wanatumia kigezo kipi
Hakuna kukata tamaa mkuu,pambana mwanzo mwisho,kuna wadau kibao,wamepata nafasi uhamiaji,polisi,magereza na sehemu nyingine pasipokua na koneksheni.Uwakika mzee nikikosa hii siombi tena
Narudi mkuu, kuna simu naenda kupiga nitakuja na majibu.Tar 06 waende dodoma na veti vyao
Tumeomba wote na kambi moja Ruvu jkt 832 kj
Namba inaishia na ngap mzeeTumeomba wote na kambi moja Ruvu jkt 832 kj
OGOPA MATAPELI
Watatoa majina PDFOna lonja yoyote kuhusu uhamiaji
Subiri PDF mkuuOna lonja yoyote kuhusu uhamiaji
Acha KIHEREHEREKesho majina wanatoa
Si umesema yanatoka leo na uhakika huna kwaiyo unatupanga sio?Majina yamechelewa sana
Jamaa una moto sana aseeMwenye sample ya usahili Maswali ya uhamiaji
Achana na UT kaombe YAKUKURU wametangaza hukoMwenye sample ya usahili Maswali ya uhamiaji
Mdogo wangu Wahenga wa kizungu walisema, "Don't count your chickens before they hatch". Wengine wakasema, " Don't cook the sauce before catching the fish". Na wengine wenye busara pia walisema," The way to cook a rabbit is first to catch a rabbit ".Mwenye sample ya usahili Maswali ya uhamiaji