o_2
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 428
- 385
Habari,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Siku tatu zilizopita STATUS ilibadilika kutoka employer kuwa MDAs na LGAs hadi employer kuwa mkoa husika. Jana imebadilika status imebadilika tena na kurudi MDAs na LGAs.
Hii inaashiria kitu gani? Tuendelee kuvuta subira.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Siku tatu zilizopita STATUS ilibadilika kutoka employer kuwa MDAs na LGAs hadi employer kuwa mkoa husika. Jana imebadilika status imebadilika tena na kurudi MDAs na LGAs.
Hii inaashiria kitu gani? Tuendelee kuvuta subira.