Watu wana mambo ya ajabu sana, yaani sijui walitaka baada ya ex boyfriend wangu kufariki nisiolewe tena niishi tu bila mume au vipi!? Yaani nashindwa kuwaelewaWee dada unakunywa nini nilipiee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hehehehe umemjibu vyemaaWatu wana mambo ya ajabu sana, yaani sijui walitaka baada ya ex boyfriend wangu kufariki nisiolewe tena niishi tu bila mume au vipi!? Yaani nashindwa kuwaelewa
Hizo deikea ni bure tu, hakuna malipo?Watu masikini kwa kujitwisha mizigo! Sasa wewe una chumba na sebure msichana wa kazi wa nini? Kwa ukubwa gani wa nyumba mlionao mpaka mahitaji msaidizi wa kazi? Siku hizi Day care kibao Sasa si bora kama mna watoto muwapeleke Day care huko wakashinde kuliko kulea mtu ambae utamlisha, utamvisha,akiugua utamuuguza na zaidi ya yote utakua na kazi ya kumchunga tabia na mshahara juu
njoo lala hapa kwangu ili tuwasikilize vizuriNapenda nyumba za hivyo hahaj
hapo natumia mlinganyo huu: mkeka + subwoofer = burudanKwa kweli Leo nimewaza sana baada ya Jana kulala mapema sana nikiwa na mke wangu na mtoto wangu wa miaka miwili pamoja na house girl.
Sisi wenye chumba na sebule tuna changa moto sana hasa wakati unahitajita kufanya mapenzi na mkeo wa maisha wakati huo msichana wa kazi amelala sebuleni au yuko macho Bado anaangalia Tv, na sisi wana ndoa tuko chumbani tunahamu yakufanya mambo yetu tulale mapema.
Hata aina ya vyumba vyetu ni vidogo sana kwa sisi wapangaji kuna mda unamwambia mwenzio tusubili usiku wa manane dada wa kazi alale lakini mnaweza kusubili na hamu ziko juu, pia mambo ya mapenzi yanahitaji kujiachia sana.
Je wenzangu mnao ishi kwenye chumba na sebule na dada wa kazi analala sitting room huwa mnafanyaje kutimiza haja zenu za mapenzi na wenzi wenu bila kuwa na wasiwasi labda kelele atasikia huyo dada, pia hizo faragha mnazifanya pia mda wa mchana.
Kwani huyo msichana wa kazi kwako atakaa bure? Si utamlipa mshahara au? Utakua humuhudumii mahitaji yake mengine kama chakula ,mavazi,ugonjwa n.kHizo deikea ni bure tu, hakuna malipo?
Sioni hata dalili na kuuliza sitothubutu.Kwa hiyo mama mkwe kaondoka
Unataka kusema kuwa mshahara wa housegirl unaweza kulingana na ada ya daycare?Kwani huyo msichana wa kazi kwako atakaa bure? Si utamlipa mshahara au? Utakua humuhudumii mahitaji yake mengine kama chakula ,mavazi,ugonjwa n.k
Jiongeze huko Day care ada zinalipwa kwa awamu
Day care zipo za bei tofauti tofauti zipo mpaka za kulipa kwa mwezi sasa sijui wewe unaulizia Daycare za viwango gani!? Mshahara wa sasa wa Dada wa kazi anayejielewa ni angalau 50 elfu hapo hujampa chakula,hujampa mavazi wala matibabu atapoumwa na bado bugudha kibao atakusababishiaUnataka kusema kuwa mshahara wa housegirl unaweza kulingana na ada ya daycare?
We nawe mpana kama dila la mjamzito [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mtoto akilala hamisheni mechi sakafuni, kitandani chaga ni norma sometimes
Walinzi au? Sasa km mshahara hautoshi si warudi kijijini wakalime!!Laki 2??? Acha utani kuna watu mshahara ni laki 3 au 2
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaaa bora wewe una chumba na sebure mkuu, kuna wengine tuna kimoja tu na mama mkwe kaja kusalimia hii wiki ya sita sasa.