Umenikumbusha miaka ile naanza maisha,...ckua na housegirl wala mtt,so tulikua tunajiachia kweli kweli na mama yenu,akikolea anapiga mayowe as if kuna MTU anampiga msumari matakoni kumbe ni raha zimemkolea,....mapenzi bana?... Acha kabisa....
Kimbembe kikaja cku moja alipokuja Mdogo wake Wa kike,na kaja kuishi hapo kwetu,sio kusalimia,....aloo.....mechi ilikua ngumu kweli kweli,.. Na ukizingatia sebule na chumbali mlango Wa kufunga hakuna,....ni pazia tu.
Na kitoto chenyewe kilikua na usingiz mgumu kweli kweli,....mkisubiria hadi SAA 7 ile unataka kuchomeka kitu kimezwe unashangaa kimefungua mlango eti kinaenda chooni.....kalikua kananikera.