Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 229
- 566
Niaje Wajuba?
Heri ya siku wa Kina Baba duniani japokuwa ilikuwa juzi kati. Kila mwanaume mpambanaji wa yale mambo yetu lazima hizi hukumu zinamuhusu Sana BLOCK na BLACKLIST, tunapata hizo hukumu kwa sababu mbali mbali.
Wajuba no issue gani ilikufanya ukapigwa Pin?[emoji41][emoji41]
Heri ya siku wa Kina Baba duniani japokuwa ilikuwa juzi kati. Kila mwanaume mpambanaji wa yale mambo yetu lazima hizi hukumu zinamuhusu Sana BLOCK na BLACKLIST, tunapata hizo hukumu kwa sababu mbali mbali.
Wajuba no issue gani ilikufanya ukapigwa Pin?[emoji41][emoji41]