TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Najua wengi humu tumepitia life la shule za boarding,je ni moment zipi hauwezi kuzisahau hususa boarding za gavo au hata private??
Binafsi nimepitia maisha ya boarding za serikali hapa hapa Tanzania miaka hiyo ya nyuma, ila sio maisha ambayo kivile japo ni boarding la serikali ila maisha yalikuwa ya kishua sana wanafunzi usiku mnakula wali nyama mixer ndizi moja moja, ijumaa biliani, siku nyingine wali nazi.
Pia shule ilikuwa na utaratibu wa kugawa maziwa na chai ya maziwa, babaa ss kuna shule fulani ss ya girls ya serikali walikuja kututetembelea siku moja wakaona jinsi tunavyokula vizuri waliporudi kwao wakashinikiza uongozi wa shule nao wanataka kura vizuri kama sisi wakaambiwa haiwezekani.
Kiukweli kwenye kula watu walikuwa wanakula vizuri ila mazingira mengine hovyo sana, kiasi ambacho mtu ukienda chooni unahacha nguo zako nje ili zisinuke nnya yaani na mambo mengi ya hovyo.
Ila kwa ss nasikia serikali imeboresha sana miundo mbinu hususa vyoo na majengo mengine, sijajua kwny kula kama bado wanakuka biliani na wali ulioungwa na nazi mpaka sasa.
ππππππ
Najua wengi humu tumepitia life la shule za boarding,je ni moment zipi hauwezi kuzisahau hususa boarding za gavo au hata private??
Binafsi nimepitia maisha ya boarding za serikali hapa hapa Tanzania miaka hiyo ya nyuma, ila sio maisha ambayo kivile japo ni boarding la serikali ila maisha yalikuwa ya kishua sana wanafunzi usiku mnakula wali nyama mixer ndizi moja moja, ijumaa biliani, siku nyingine wali nazi.
Pia shule ilikuwa na utaratibu wa kugawa maziwa na chai ya maziwa, babaa ss kuna shule fulani ss ya girls ya serikali walikuja kututetembelea siku moja wakaona jinsi tunavyokula vizuri waliporudi kwao wakashinikiza uongozi wa shule nao wanataka kura vizuri kama sisi wakaambiwa haiwezekani.
Kiukweli kwenye kula watu walikuwa wanakula vizuri ila mazingira mengine hovyo sana, kiasi ambacho mtu ukienda chooni unahacha nguo zako nje ili zisinuke nnya yaani na mambo mengi ya hovyo.
Ila kwa ss nasikia serikali imeboresha sana miundo mbinu hususa vyoo na majengo mengine, sijajua kwny kula kama bado wanakuka biliani na wali ulioungwa na nazi mpaka sasa.
ππππππ