Tuliopoteana tukutane hapa

Aha ha, mi nawatafuta walio hai tuliomaliza(LY) msamvu primary 1996__mji kasoro bahari_____#@
 
Namtafuta Secilia Mbunda na Khadija Mohamed ni ndugu na marafiki walikuwa darasa moja waliishi maeneo ya kimara
 
mimi namtafuta Lydia Kiwango tuliyepoteana tokea mwaka 1959 kule Lizbon Ureno..
pindi uonapo post hii naomba unitafute through my email: miraba6@gmail.com
 
Mi namtafuta mtu aluyeniibia ndala zangu msikitini, nazijua vizuri kwasababu nimeziweka alama. Nikikukuta umezivaa ni ama zako ama zangu!
 
Mi namtafuta mtu aluyeniibia ndala zangu msikitini, nazijua vizuri kwasababu nimeziweka alama. Nikikukuta umezivaa ni ama zako ama zangu!
Utakuta kazipiga rangi mpya,mikanda kabadilisha na zilipobonyea kapiga puti.
 
Waliowapata ndugu, jamaa na marafiki waliopotezana kupitia huu uzi tupeni mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…