Amon yupo kigamboni, anaitwa NicholasMie namtafuta AMON.....yani sijui sir name yake .....ila mie ni yule wa udsm kipindi 2008/2009........
Kamwene bee makasi.Mimi namtafuta msafiri makumlo,tumesoma naye gangilonga primary school,mwaka 1983mpaka 1990
Unajua huyu namtafuta kama navyoutafuta ufalme wa mbinguni.Amon yupo kigamboni, anaitwa Nicholas
Nafikiri ni officer wa jw jaribu kumcheck fb.Unajua huyu namtafuta kama navyoutafuta ufalme wa mbinguni.
I thank God for this..lol
Namtafuta DIANA TAIDINI nimesoma nae Bunge Primary school
Shoga we need to meet..I miss u oohhhh
Usijali mkuu utamuona kipindi cha kampeniMimi namtafuta mbunge wangu, toka tumeachana kipindi cha kampeni kuisha, sijamuona tena!
Nisipomwona sasa, kampeni ijayo nami nagombea Ubunge!Usijali mkuu utamuona kipindi cha kampeni
Haya sasa mmekutana kajikubushiane ya long time...
Ndio maan michepuko haiishi jamani mtu akikutana na Ex wake wengi wao wanajikumbushi si bora uolewe na huyo ex wako..