Tuliopoteana tukutane hapa

Tuliopoteana tukutane hapa

Anita Baby

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
1,265
Reaction score
540
Amani iwe kwenu.

Si vibaya tukakutana na ndg na marafiki tuliopoteana nao.

Binafsi kuna watu nawasaka sana. Yaani nimewagoogle kila kona bila mafanikio, mwingine nikamkuta Facebook lakini akaunti yake haipo active.

NAMTAFUTA CHRISTINA NGATA/MRS KIDAYA AU SHAMSA, ROSE MHAIKI MTOKAMBALI NA ZITHA MVULA/ MAMA DUBOUS.

Popote mlipo jamani nawasaka km miguu ya nyoka.
 
Mi namtafuta sana Janeth Mongi alikuwa anafanya kazi Tigo office za Tanga mjini, namtafuta sana huyu Bi. Dada
 
Mie namtafuta GOODLUCK EMMANUEL baby wako wa mwaka juzi. nimekumiss my EX mbaya zaidi namba yako ya zamani haipatikani tafadhali mupenzi nitafute tukumbushie enzi my dear nimekumiss.
Yours Baby G
Mi haunitafuti?
 
Back
Top Bottom