Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 540
Amani iwe kwenu.
Si vibaya tukakutana na ndg na marafiki tuliopoteana nao.
Binafsi kuna watu nawasaka sana. Yaani nimewagoogle kila kona bila mafanikio, mwingine nikamkuta Facebook lakini akaunti yake haipo active.
NAMTAFUTA CHRISTINA NGATA/MRS KIDAYA AU SHAMSA, ROSE MHAIKI MTOKAMBALI NA ZITHA MVULA/ MAMA DUBOUS.
Popote mlipo jamani nawasaka km miguu ya nyoka.
Si vibaya tukakutana na ndg na marafiki tuliopoteana nao.
Binafsi kuna watu nawasaka sana. Yaani nimewagoogle kila kona bila mafanikio, mwingine nikamkuta Facebook lakini akaunti yake haipo active.
NAMTAFUTA CHRISTINA NGATA/MRS KIDAYA AU SHAMSA, ROSE MHAIKI MTOKAMBALI NA ZITHA MVULA/ MAMA DUBOUS.
Popote mlipo jamani nawasaka km miguu ya nyoka.