Tuliosema Kitambo kuwa Yanga SC ilifungiwa na FIFA Kusajili na Tukatukanwa hapa tunaomba tuombwe Radhi upesi

Tuliosema Kitambo kuwa Yanga SC ilifungiwa na FIFA Kusajili na Tukatukanwa hapa tunaomba tuombwe Radhi upesi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Sasa ni rasmi Yanga SC yetu tumeruhusiwa Kusajili baada ya Kuzuiwa kwa muda kufanya hivyo kutokana na Kushtakiwa na aliyekuwa Kocha Wetu Luc Eymael kwa Deni lake alilokuwa akitudai kwa muda mrefu" amesema Ali Kamwe Msemaji wa Yanga SC.

Chanzo: Sports Headquarters ya EFM muda si mrefu.ll

GENTAMIYCINE huwa siji na Taarifa nisiyokuwa na uhakika nayo kwa 100% na sikupewa Tuzo ya Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa Jamiiforums Msimu wa 2022 / 2023 Kimakosa.

Haya wale Wote mlionitukana na hata Kuwatukana Wengine juu ya Kusema kuwa Yanga SC ilifungiwa Kusajili na FIIFA kutokana na Kudaiwa na aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymael mtuombe Radhi haraka na ikiwezekana pia mtupigie Salute.

Mimi ndiyo GENTAMIYCINE The King!!!!
 
Ukimya wa Yanga kutangaza wachezaji wapya unawaumiza Makolo FC, tuendelee hivi hivi. Naona mmesahau hata kuulizia jezi zenu.

Yaani nyie hamjiulizi wiki moja mmemtangaza mtengenezaji wa jezi,wiki inayo fuatia mkafanya kikao na designer wa jezi,wiki nyingine jezi tayari. Yaani huu uongo wa kwenu hamuuoni ,mnahangaika na mambo ya Yanga au zile vurugu na foleni kwenye maduka siku moja kabla ya KOLO FC day mnazipenda wenzetu, manake club kubwa zote duniani jezi zao za msimu 23/24 zishatoka.
 
Una matatizo ya akili wewe!! Naona mnalazimisha kuitafuta furaha. Mi nikupe tu hii hata Ali kamwe alisema safar hii wanataka watumie njia ya kutangaza wachezaji ili pia kuuza jezi. Ndomana unaona mpk sasa sio mayele wala wachezaji wengine muhomu hawajatangazwa. Pili nikuulize tu toka lini EFM wakasema mazuri ya yanga na tatu kwenye ile tour ya rais Hersi na kamwe ulifanikiwa kuona wakifanya tour hicho kituo? Jiulize sababu ni nn? Acha propaganda ambazo hazina akili
 
"Sasa ni rasmi Yanga SC yetu tumeruhusiwa Kusajili baada ya Kuzuiwa kwa muda kufanya hivyo kutokana na Kushtakiwa na aliyekuwa Kocha Wetu Luc Eymael kwa Deni lake alilokuwa akitudai kwa muda mrefu" amesema Ali Kamwe Msemaji wa Yanga SC.

Chanzo: Sports Headquarters ya EFM muda si mrefu.ll

GENTAMIYCINE huwa siji na Taarifa nisiyokuwa na uhakika nayo kwa 100% na sikupewa Tuzo ya Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa Jamiiforums Msimu wa 2022 / 2023 Kimakosa.

Haya wale Wote mlionitukana na hata Kuwatukana Wengine juu ya Kusema kuwa Yanga SC ilifungiwa Kusajili na FIIFA kutokana na Kudaiwa na aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymael mtuombe Radhi haraka na ikiwezekana pia mtupigie Salute.

Mimi ndiyo GENTAMIYCINE The King!!!!
Kibabage alisajiliwa kwenye dirisha lipi labda ebu tueleweshe?
 
Na ndio zake kubinuka hap jukwaani tumuone was maana


Nilishangazwa na jf kumpa tuzo
Na nakuhakikishia nitapewa Tuzo hapa JamiiForums kila Shindano likiwepo ili mnune hadi mpasuke.

Mimi ndiyo GENTAMIYCINE The King!!!!

Pumbavu.
 
Ukimya wa Yanga kutangaza wachezaji wapya unawaumiza Makolo FC, tuendelee hivi hivi. Naona mmesahau hata kuulizia jezi zenu.

Yaani nyie hamjiulizi wiki moja mmemtangaza mtengenezaji wa jezi,wiki inayo fuatia mkafanya kikao na designer wa jezi,wiki nyingine jezi tayari. Yaani huu uongo wa kwenu hamuuoni ,mnahangaika na mambo ya Yanga au zile vurugu na foleni kwenye maduka siku moja kabla ya KOLO FC day mnazipenda wenzetu, manake club kubwa zote duniani jezi zao za msimu 23/24 zishatoka.
Hakuna cha ukimya wala nini yule faza wa manyani fc kakomba pesa zote na hata yule ng’ombe wenu nae anawachezea akilu anataka mpunga mrefu bosi wenu haelewi aweke mzigo kama utarudi au laa maan kwenye mashindano ya pesa CAF SUPER LEAGUE Hampo
 
Hakuna cha ukimya wala nini yule faza wa manyani fc kakomba pesa zote na hata yule ng’ombe wenu nae anawachezea akilu anataka mpunga mrefu bosi wenu haelewi aweke mzigo kama utarudi au laa maan kwenye mashindano ya pesa CAF SUPER LEAGUE Hampo
Utazani mnashare account moja na huyo boss wetu, kweli ukitaka habari za Yanga muulize Kolo FC.Halafu si wenyewe tumetulia ,hatufanyi vitu kwa presha.Nyie haki yenu kuwa na presha msimu wa pili hamkutoka na kitu na mtapagawa zaidi baada ya hao mlio wasajili wakiwa kinyume na matarajio yenu makubwa mlio jiwekea kichwani.
 
Huyu taahira hana kumbukumbu ametoka kusema tumeishiwa hela sasa hivi tumefungiwa kusajili ilimradi tu abinue matako
Ni mtu wa kuwapanga wajinga na wapumbavu ili wamuone anayajua mengi. Tatizo hana msimamo na kumbukumbu juu ya hoja zake. Alisema sababu kubwa ya Yanga kushindwa kusajili na ukata hivyo wametoa jezi mapema ili ipate ela. Lakini cha ajabu kajisahau anakuja na habari za kufungiwa kusajili

 
Back
Top Bottom