Tulioshindwa kwenda Moshi sababu ya nauli tukutane hapa

Tulioshindwa kwenda Moshi sababu ya nauli tukutane hapa

Binafsi nilitamani kwenda sema kila nikipiga jicho naona madogo wanne wanadai ada january, ikabidi tu niwe mpole maana ukienda Moshi lazima ule ada ubakiwe na nauli tu

Wale wenzangu na mimi hebu tupeane moyo hapa

Uzi tayari
Bora hukwenda maana bila hela ungeishia kutumwatumwa; kuonekana mtu wa hovyo; na hakuna mtu ambaye angethamini mchango wako wowote uwe wa mawazo ama ushauri. Mwisho wa haya ungesheherekea x-mas kwa stress mbaya kabisa.
 
Bora hukwenda maana bila hela ungeishia kutumwatumwa; kuonekana mtu wa hovyo; na hakuna mtu ambaye angethamini mchango wako wowote uwe wa mawazo ama ushauri. Mwisho wa haya ungesheherekea x-mas kwa stress mbaya kabisa.
Umesema vyema mkuu, mwidho wa siku January ningekua nalia lia ada, ila kwa sasa hata wakisema shule inafunguliwa kesho sina wasiwasi kabisa
 
Bora hukwenda maana bila hela ungeishia kutumwatumwa; kuonekana mtu wa hovyo; na hakuna mtu ambaye angethamini mchango wako wowote uwe wa mawazo ama ushauri. Mwisho wa haya ungesheherekea x-mas kwa stress mbaya kabisa.

Umesema vyema mkuu, mwidho wa siku January ningekua nalia lia ada, ila kwa sasa hata wakisema shule inafunguliwa kesho sina wasiwasi kabisa
Just imagine wazee jinsi wangekusakama na kukuuliza 'MULUME hata kuiba umeshindwa ?'
 
Pole mkuu nimekuwakilisha Nikiwa Kibosho [emoji116][emoji116]
JamiiForums-124772545.gif
 
Back
Top Bottom