A
Anonymous
Guest
Habari, mimi na wenzangu kadhaa ni mwanafunzi wa shahada za juu shule kuu ya elimu UDSM.
Tulisimamia mitihani ya chuo (UE) ya kufunga muhula wa kwanza 2023/24 baada ya Ndaki ya Sayansi za jamii (College of Social sciences) kutangaza kuomba wanafunzi wa postgraduate kusaidia kusimamia mitihani hiyo kutokana na uhaba wa wafanyakazi wa kudumu.
Tangu mwezi wa pili 2024 hadi sasa chuo hakijatulipa ujira wetu kwa kisingizio kuwa hakuna fedha licha ya kwamba wanafunzi wanalipa ada na shughuli nyingine za chuo zinazohitaji fedha zinaendelea.
Ujumbe huu pia unaweza ukawa unawakilisha wafanyakazi na wanafunzi wengine ambao wanadai fedha kutokana na shughuli mbalimbali.
Ni/tunaamini ujumbe huu utasaidie mamlaka husika na wadau kusaidia kutatua kero hii ambayo imekuwa sugu kwa makundi mbalimbali UDSM.
Asanteni
Tulisimamia mitihani ya chuo (UE) ya kufunga muhula wa kwanza 2023/24 baada ya Ndaki ya Sayansi za jamii (College of Social sciences) kutangaza kuomba wanafunzi wa postgraduate kusaidia kusimamia mitihani hiyo kutokana na uhaba wa wafanyakazi wa kudumu.
Tangu mwezi wa pili 2024 hadi sasa chuo hakijatulipa ujira wetu kwa kisingizio kuwa hakuna fedha licha ya kwamba wanafunzi wanalipa ada na shughuli nyingine za chuo zinazohitaji fedha zinaendelea.
Ujumbe huu pia unaweza ukawa unawakilisha wafanyakazi na wanafunzi wengine ambao wanadai fedha kutokana na shughuli mbalimbali.
Ni/tunaamini ujumbe huu utasaidie mamlaka husika na wadau kusaidia kutatua kero hii ambayo imekuwa sugu kwa makundi mbalimbali UDSM.
Asanteni